Blogger Widgets

Friday, February 7, 2014

FBI inayo miili ya magaidi wa Westgate..!!!

Mmoja wa magaidi walioshambulia Westgate Mkuu wa majeshi ya Kenya ameabia vyombo vya habari kuwa shirika la Ujasusi la Marekani FBI lilikabidhiwa miili ya magaidi walioshambulia jengo la Westgate nchini Kenya mwaka jana. Karangi, ameyasema hayoalipokuwa akikitoa maelezo katika mkutano ulioandaliwa nchini Kenya na baraza la vyombo vya habari kuhusu ambavyo shambulizi hilo lilishughulikiwa. Alisema kuwa majeshi yake hatimaye yaliweza kuwaua magaidi...

Lady Jay Dee seeks divorce from husband...!!!

Posted  Friday, February 7  2014 at  14:54 IN SUMMARY According to recent reports that have since been circulating and confirmed by Gadner himself, the talented musician and owner of the famous Nyumbani Lounge threatened for a divorce after learning that her husband had secured a deal of becoming a radio presenter in Kenya, a deal that will see him cash in Sh 6million a month. Dar es Salaam. Word has it that Lady...

Facebook yagonga miaka 10..!!!

Facebook inasherehekea miaka kumi wiki hii tangu kuzinduliwa. Ina watumiaji bilioni 1.2. Lakini nani anatumia Facebook na wanaitumia kwa njia gani? Mishumaa kwenye keki ya Facebook inaposherehekea miaka 10 haitazima kabla ya mtu kuwa na tashwishi ikiwa kampuni hiyo itadumu na kufikisha mwaka wake wa 11. Wakuu wa Facebook wakisherehekea miaka 10 Taarifa zinazohusiana Teknolojia Katika utafiti uliofanywa hivi karibuni, ikiwa utaaminika...