Blogger Widgets

Wednesday, August 27, 2014

UMESHASIKIA KUHUSU ALS ICE BUCKET CHALLENGE? SASA VODACOM WAMEKUJA NA HII KWA WABONGO..!!

Kampuni ya Vodacom Tanzania imekuja na Fistula Ice Bucket Challenge ‘#BongoIce’ yenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya matibabu ya akina mama wajawazito wenye ugonjwa wa Fistula. Hii ni kutokana na kampeni inayoendelea mitandaoni iitwayo #ALSIceBucketChallenge  ambapo Vodacom Tanzania kwa kutambua kuwa kuna wanawake zaidi ya 30,000 wanaogua ugonjwa huu hapa nchini imeanzisha kampeni inayoitwa #BongoIce. Mkurugenzi wa Vodacom, Rene...

Thursday, August 21, 2014

A WORD OF THANX..

And finally, we reached those six digits.. 101,012+ Viewers. As this page grows day by day, i would like to take this opportunity to thank all of you who support this blog.Our blog site is gaining popularity because of you, our beloved visitors.. We will always try our best to keep you guys updated, so please keep visiting.. Sincerely, ALOYCE JERRY, Founder of Aljerry'12 Special Thanx to all the supporters and viewers, here is to mention the...

Tuesday, August 19, 2014

BRAND NEW: KUTOKA KWA CHID BENZ CHUMA, HII NDIYO TRACK YAKE MPYA AKIWASHIRIKISHA DIAMOND NA AY..

Baada ya kimya cha muda mrefu,, Dully sykes sasa amrudisha tena Chid Benz kwenye Game. Hii ndio track mpya toka kwake akimshirikisha rais wa wasafi, Diamond Platnumz na Mr. Cash money himself, Ambwene Yesaya 'AY'.. sikiliza na download pini hiyo kali hapa... ...

Kutoka kwa Machalii ya Ara.. Hii ndio Remix ya Mamong'oo Toka kwa Jambo Squad ft Arusha United

Katika remix hii kali, utasikia vichwa vikali toka pande za kaskazini, Arusha City, kama vile Stoppa Rhymes, Nick wa Pili, G.Nako, Bu-Nako, Chindo, Ruff-G, Nakaaya, Chief Mufasa na Wengine wengi.. Download na sikiliza pini hii kali hapa.. ...

Friday, August 15, 2014

BRAND NEW: KWA WALE WAPENZI WA MUZIKI WA MJ,, HII NDIYO VIDEO MPYA TOKA KWA MAREHEM MICHAEL JACKSON

Michael Jackson angetimiza miaka 55 mwezi huu lakini bado mashabiki wa muziki wake wanaendelea ku-enjoy kazi zake kama hivi. Kuelekea kutoa album ya Xscape ya Michael Jackson, hivi sasa imetoka video mpya ya A Place With No Name. Video hiyo zaidi ya kuwa na wahusika wengine, pia imehusisha baadhi ya video za Michael Jackson kutoka kwenye behind the scene wakati aki-shoot short film ya In the Close...

HIZI NDIO KAULI TATA ALIZOANDIKA DIAMOND KWENYE UKURASA WAKE WA INSTAGRAM..!!!

Story ya kwanza ni kuhusu ujumbe mrefu aliondika Diamond kupitia ukurasa wake wa instagram. Ujumbe huo unaonekana unaenda kwa msanii fulani japokuwa hakuweka wazi ni msanii gani. Diamond aliweka post hii na baada ya muda mfupi aliifuta lakini maneno yote yalikuwa yanasomeka hivi. “Nafkiri ningewaona kweli Mnaakili na Mapenzi ya dhati kwa Msanii wenu… kama mngemshauri apunguze Mashoga wapenda anasa na apunguze Stareh zisizo na Faida, wenda ingemsaidia...

HILI NDIO TAMKO LA WIZARA YA AFYA KUHUSIANA NA EBOLA KUINGIA TANZANIA..

Ugonjwa wa Ebola ambao kwa sasa umeingia kwenye headlines za dunia kutokana na kuripotiwa kwenye nchi mbalimbali za Afrika sasa umeingia kugusa vichwa vya habari na kuihusisha Tanzania. Waziri wa Afya wa Seif Rashid amesema wagonjwa waliohisiwa kupata maambukizo hayo kutokana na dalili za awali ni kutoka Benin na Mtanzania lakini baada ya vipimo wameonekana hawana maambukizo hayo. Waziri Seif Rashid amesema kuwa tayari eneo maalumu limetengwa...

Sunday, August 3, 2014

Hizi ni baadhi ya picha ya vipande vikali katika Video mpya ya Niki wa Pili, Sitaki kazi, itakayokujia hivi karibuni!

Picha zote ni kutoka kwenye instagram ya Nikk wa Pili zikiwa ni kati ya sehemu ya uchukuaji wa video ya Sitaki kazi. Wimbo huo ameufanya pamoja na Ben Pol & G Nako ...

Friday, August 1, 2014

VIDEO: TAZAMA KALI HII,, KIKWETE AKIWA SOKONI NA MAMA SALMA WAKINUNUA SAMAKI..

Hii ndio video iliyowashangaza watu wengi ikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akiwa sokoni na mama Salma wakiwa wananunua samaki.. Hii inafurahisha kwa kweli. Tazama video yenyewe hapa chini....