Blogger Widgets

Sunday, June 30, 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA UJIO WA RAIS WA MAREKANI NCHINI!!

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Marekani, Mhe. Barack Obama anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 01 Julai, 2013 mchana kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili.Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, Mhe. Rais Obama ambaye atafuatana na Mkewe Mama Michelle atapokelewa na Mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.Baada ya mapokezi, Mhe. Rais Obama atakwenda Ikulu kwa mazungumzo rasmi na Mhe. Rais Kikwete. Aidha, atafanya mkutano na Wafanyabiashara na kuhudhuria Dhifa ya Kitaifa.Tarehe...

Saturday, June 29, 2013

Afrika Kusini wafanya Maandamano ya Amani Kupinga Ujio wa Obama Nchini Mwao,,

Waandamanaji Nchini Afrika Kusini wakiwa wamebeba mabango yanayopinga kuja Kwa Raisi Obama nchini Humo wakati wa maandamano ya Amani ya Kupinga Kuja Kwa Obama Katika Jiji la Pretoria Nchini Afrika jana Jioni - Juni 28 Waandamanaji Nchini Afrika Kusini Wakisali mbele ya Bango linalopinga Kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo wakati Raisi Obama alipotua Nchini Afrika Kusini Jioni ya jana Juni 28 Waandamaji wa Nchini Afrika Kusini wakiwa wanasali...

Friday, June 28, 2013

Barcelona star, Lionel Messi in Senegal as part of campaign to combat malaria

Barcelona star Lionel Messi has arrived in Senegal to help launch a campaign against malaria in Africa. The reigning world footballer of the year is advocating the need to use medicated bed nets to reduce the pace of the disease on the continent. "I am really delighted to come to Senegal," the Argentine told BBC Sport. "My commitment to be part of this battle against malaria is relentless. Whenever I have the opportunity to help, I will not...

Hii Kali!!! KITUO CHA DALADALA UBUNGO 'OUT OF SERVICE' KWA MASAA MACHACHE SIKU YA JUMANNE KUMPISHA OBAMA!!!

Hili ni moja ya matangazo yaliyobandikwa maeneo ya kituo hicho!!! ...

Sugu afikishwa Mahakamani Leo!!! Ni baada ya kutumia lugha ya Matusi kwa Waziri Mkuu!!!

Leo asubuhi Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu) alipelekwa mahakamani kwa shitaka la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Waziri Mkuu, shtaka hili lilifunguliwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Dodoma na mwendesha mashitaka wa serikali. Baada ya kufunguliwa shtaka hilo, Lissu ambaye alikuwa wakili wa Sugu aliitaka mahakama ifutilie mbali shtaka hilo kwani halina msingi wowote wa kisheria na baada ya mabishano ya kisheria baina ya Lissu na wanasheria...

Thursday, June 27, 2013

ZILIZO MAKE HEADLINES KWENYE MAGAZETI YA LEO!! Thursday, June 27 2013

...

Brasil yawa timu ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Mabara!!

KONA ya Dakika ya 86 ya Neymar ilimkuta Kiungo Paulinhoaliejitwika kichwani na kuipa Brazil Bao la pili na la ushindi na kutinga Fainali ya Mashindano ya FIFA ya Kombe la Mabara walipoifunga Uruguay Bao 2-1 katika Mechi ya Nusu Fainali iliyochezwa Estadio Mineirao, Mjini Belo Horizonte, Nchini Brazil.. >>Soma Zaidi<&l...

ENTERTAINMENT: New Music and Video Download..

Download na Sikiliza Track Mpya kutoka kwa AY na Mwana FA ft J.Martins >>Click Hapa<&...

Wednesday, June 26, 2013

Top Stories Kwenye Magazeti Ya Leo,, Wednesday, June 26 2013

...

Tuesday, June 25, 2013

SPORTS: Real Madrid Confirms Ancelotti Signing

The Spanish giants have announced on their official website that the Italian will be their new head coach for the next three seasons Real Madrid have confirmed Carlo Ancelotti will leave Paris Saint-Germain to take over at the club following the exit of Jose Mourinho earlier this summer.. >>Read More<< Former France head coach Laurent Blanc has been confirmed as Paris...

BEEF YA KAGAME NA MTIKILA YAPAMBA MOTO: Mtikila has extreme genocide ideology, says Kagame

Kagame has said Mtikila has extreme genocide ideology, similar to what was promoted in Rwanda in 1960s.  He said this at a press conference, adding that Mtikila published an article, calling Tutisi snakes, that they don't deserve to live, and showed great hate!  The president also said that mtikila tried to regionalize the hate and his government (Tanzania) said nothing and did nothing ABOUT IT. It should be recalled that Mtikila used Jamii Forum and wavatu to dehumanize tutsis as a tribe, while commenting on eviction of Wasukuma from...

Story kubwa kwenye Magazeti ya Leo.. Tuesday, June 25 2013

...

Monday, June 24, 2013

Magazeti Ya Leo,, Monday, June 24 2013

...

Saturday, June 22, 2013

MAGAZETI YA LEO!!! Jumamosi, june 22, 2013

...