Blogger Widgets

Sports

Haya hapa magoli yote 17 aliyoyafunga Cristiano Ronaldo ulaya – yaangalie hapa

article-2639065-1E35B8DA00000578-674_634x465Cristiano Ronaldo ameibuka mfungaji bora wa michuano ya mabingwa wa ulaya kwa mara ya pili mfululizo, msimu huu na msimu uliopita.
Nahodha huyo wa Ureno amefunga magoli 17 msimu huu, hii ni rekodi mpya ya mabao kwenye michuano ya ulaya, akiwa amevunja rekodi ya Messi aliyefunga mabao 15 msimu wa 2011/13.
Unaweza kuyatazama magoli yote hapa…..