Blogger Widgets

Wednesday, October 23, 2013

SHULE ZA SEKONDARI NCHINI KUUNGANISHWA NA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO..!!

Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa, akikata utepe wakati wa Uzinduzi wa mpango wa kuziunganisha shule za Sekondari na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ukianzia Shule ya Kambangwa Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Meneja wa Samsung Tanzania Kishor Kumar, wapili ni Mkuu wa kitengo cha mfuko wa huduma za jamii cha Vodacom, Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule,kutoka kushoto ni Mkuu wa shule hiyo Bi.Theresia Ng'wigulu. Waziri...

Serikali yafikiria kuondoa kodi ya ving’amuzi..!!

Arusha. Serikali inakusudia kupunguza au kuondoa kabisa kodi katika ving’amuzi ili kuwezesha Watanzania wengi kumudu kununua vifaa hivyo na kupata huduma ya matangazo ya runinga. Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba alisema jana kuwa kwa sababu Serikali inatekeleza makubaliano ya kimataifa ya kuhamia mfumo wa dijitali kutoka analojia, ni vyema kila Mtanzania akawa na uhakika wa kupata huduma ya matangazo ya runinga...

Tuesday, October 22, 2013

Wanafunzi Waliokosa mikopo vyuoni wahurumiwa...!!

WANAFUNZI 1,107 wa masomo ya kipaumbele waliokosa mkopo kutokana na fomu zao za maombi kuwa na dosari, wamehurumiwa na Serikali na sasa watapata mikopo waanze chuo. Wanafunzi watakaonufaika ni wa ualimu wa hisabati (20), ualimu wa sayansi (164), wanafunzi wa sayansi na tiba (111), uhandisi –umwagiliaji (7), ualimu (617), sayansi ya kilimo (20), uhandisi (70) na sayansi (98). Akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii,...

Sunday, October 20, 2013

Ufoo Saro afunguka...!!

Ufoo Saro amehojiwa na Rai leo, na haya ndio aliyokuwa nayo ya kusema baada ya tukio la kupigwa Risasi.. MWANDISHI  wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro ambaye hivi karibuni alikumbwa na madhila ya kupigwa risasi na kujeruhiwa vibaya na mzazi mwenzie, ameanza kufunguka kidogo kidogo na kueleza kwa kina jinsi tukio zima lilivyotokea.  Akizungumza kwa sauti ndogo na taratibu na gazeti hili kando ya kitanda alicholazwa katika Hospitali...

Friday, October 18, 2013

Exclusive Video of what happened inside Westgate Mall

This footage obtained exclusively by CNN show the moment attackers entered the Westgate mall in Nairobi.  Large part of the footage has been edited as is too horrific for broadcasting&nbs...

Friday, October 11, 2013

MAGAZETI YA LEO.. FRIDAY, OCTOBER 11, 2013

...

SPORTS: Rooney afunguka kuhusu Ferguson!!!

Manchester, England. Kitendo cha kocha wa zamani wa Manchester United, Alex Ferguson kumhamisha nafasi anayocheza uwanjani Wayne Rooney kilitaka kusababisha nyota huyo kutaka kuihama klabu hiyo msimu uliopita, lakini uongozi wa klabu hiyo ulikataa kumuuza. “Kila mtu katika klabu yetu anajua nafasi ninayotaka kucheza, kitendo cha kocha Ferguson kunichezesha nafasi tofauti kiliniudhi, kocha alikuwa akitaka nicheze nafasi ya kiungo, mimi sikutaka...