ASKOFU na Nabii George David ‘Geordavie’ wa Kanisa la Geordavie Ministry ‘Ngurumo ya Upako’ lililoko jijini Arusha na Kawe, Dar hivi karibuni alifanya mkutano mkubwa na kutikisa nchi kwa kuwa na magari ya kifahari na ndege aina ya helikopta ‘chopa’ iliyokuwa ikirandaranda juu ya anga kulinda usalama wake.
Katika mkutano huo uliofanyika Karatu mkoani Manyara hivi karibuni ulishuhudiwa msafara wa Geordavie ambaye hutoa huduma ya uponyaji kwa...