Blogger Widgets

Saturday, March 22, 2014

HII HATARI,, NABII GEORDAVIE (NGURUMO YA UPAKO) NA MSAFARA WENYE ULINZI KULIKO HATA RAIS WA NCHI..!!

ASKOFU na Nabii George David ‘Geordavie’ wa Kanisa la Geordavie Ministry ‘Ngurumo ya Upako’ lililoko jijini Arusha na Kawe, Dar hivi karibuni alifanya mkutano mkubwa na kutikisa nchi  kwa kuwa na magari ya kifahari na ndege aina ya helikopta ‘chopa’ iliyokuwa ikirandaranda juu ya anga kulinda usalama wake. Katika mkutano huo uliofanyika Karatu mkoani Manyara hivi karibuni ulishuhudiwa msafara wa Geordavie ambaye hutoa huduma ya uponyaji kwa...

Wale wa Man UTD, mechi hizi zote Van Persie hatacheza..

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Robin van Persie amepata majeruhi ya goti baada ya kuumia katika mchezo wa raundi ya pili wa hatua ya 16 ya ligi ya mabingwa wa ulaya dhidi ya Olympiakos uliopigwa katika dimba la Old Trafford, jumatano wiki hii. Van Persie ambaye alifunga hat trick iliyoipeleka Man United hatua ya robo fainali alitolewa nje na machela katika mchezo huo katika dakika za mwisho, na baada ya kufanyiwa vipimo kiundani...

Friday, March 21, 2014

Ajali mbaya kituo cha mabasi Ubungo..!!!

Ajali mbaya imetokea muda huu eneo la Ubungo, kwenye lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali imehusisha magari 6 likiwemo UDA. Mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha. Hatua za uokoaji zinaendelea. Ajali mbaya imetokea muda huu eneo la Ubungo, kwenye lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali imehusisha magari 6 likiwemo UDA.Mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha. Hatua...

Wednesday, March 12, 2014

Hiki ndicho alichofanya Christiano Ronaldo baada ya kutajwa kuwa mwanasoka Tajiri ulimwenguni..

Baada ya kutajwa na mtandao wa habari za michezo wa Goal.com kuwa mwanasoka tajiri kuliko wote Ulimwenguni, Cristiano Ronaldo amefanya kitendo ambacho kimezidi kumpatia sifa ya kuisadia wale wenye matatizo. Kwa mujibu wa gazeti la kihispania AS ni kwamba Ronaldo ameamua kumlipia fedha za matibabu mtoto mwenye miezi 10 Erik Ortiz Cruz ambaye ni mgonjwa sana akisumbulia na matatizo kwenye ubongo wake (Cortical dysplasia.) Kutokana na taarifa...

Kutoka bungeni,, Huyu ndio mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la katiba baada ya uchaguzi wa leo..

Hatimae Samuel Sitta ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la katiba kwa kupata jumla ya kura 487 kati ya kura zote 563 zilizopigwa na wawakilishi wa bunge hilo,na kwa sasa Samuel Sita anatoa hotuba yake ya shukrani kama Mwenyekiti. Miongoni mwa changamoto alizoziahidi kuzishughulikia ni pamoja kulifanya bunge hili kuwa bunge la viwango na kuahidi kutumia muda mfupi zaidi kwenye bunge hili la Katiba sambamba na kuwashughulikia wanaotaka...

Saturday, March 8, 2014

Hii ndio Video Mpya ya D Knob na Mwasiti,, – ‘nishike mkono’

...

Aljerry'12 says HAPPY WOMEN'S DAY..!!!

...