Blogger Widgets

Friday, October 24, 2014

UMESIKIA HII YA BOKO HARAM KUTEKA WANAWAKE WENGINE? HEBU CHEKI NAYO HAPA..

Taarifa iliyoripotiwa na shirika la utangazaji Uingereza BBC imesema kikundi cha wapiganaji cha Boko Haram kimefanya mashambulizi katika kijiji cha Adamawa kilichopo Kaskazini Magharibi ya Nigeria na kuteka wanawake na wasichana katika kijiji hicho. Utekaji wa wasichana na wanawake hao unatokea ndani ya siku sita tangu serikali ya Nigeria na kikundi hicho walipofanya makubaliano ambapo Boko Haram waliahidi kuwaachilia huru zaidi ya wasichana...

BRAND NEW: UMEISIKIA HII COLABO YA FA NA ALI KIBA? PITA NAYO HAPA..!

MwanaFA ambae hivi karibuni alitajwa na producer maarufu Hermy B kama Mkali miongoni mwa wachache bongoflevani wenye uwezo mkubwa wa kuandika pia mashairi, ameungana na Ali Kiba kuziteka headlines za bongofleva kwa single yao ambayo unaweza kuipakua hapa kupitia mkito.com Wimbo ni wa mwana FA akiwa amemshirikisha Ali Kiba, na unaitwa Kiboko Yangu.. mkito.com ni tovuti mpya iliyo chini ya vijana walioamua kuwa serious kuongeza vipato vya Wasanii...

UMEIPATA HII YA CHID BENZ KUKAMATWA NA POLISI AIRPORT? ICHEKI HAPA..

Najua kama umekua karibu na simu yako leo mitandao ya kijamii hasa Whatsap na twitter inaweza kuwa imetumika kukufikishia Taarifa zilizoanza kuzungumziwa na watu mbalimbali saa kadhaa zilizopita kwamba msanii Chid Benz amekamatwa na Polisi. Taarifa zinasema kakamatwa na Polisi kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam akiwa anaelekea Mbeya na hiyo imetokea baada ya kukutwa na vitu ambavyo ni kosa kwa yeyote kukutwa navyo. Wakati millardayo.com inaendelea...

Monday, October 20, 2014

HAYA NDIO DIAMOND NA UONGOZI WAKE WALIYOZUNGUMZA BAADA YA FIESTA KUWAENDEA VIBAYA..!!

October 18 ilikua ni siku maalum ya Wakazi wa Dar es salaam kula bata kwenye msimu wa mafanikio ambao unapita mara moja kila mwaka kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania. Ilikua ni good time ya ukweli sana Watanzania kumuona T.I kumuona Davido kumuona Victoria Kimani na Waje pamoja na wasanii wengine wa kimataifa ambao nao walihudhuria tamasha hili lililokuwa na watazamaji zaidi ya elfu hamsini. Miongoni mwa wasanii waliopokelewa vizuri kwenye show...

Sunday, October 12, 2014

UMESIKIA KUHUSU HII FILAMU YA MAISHA YA LIONEL MESSI? Cheki Trailer ya Movie hiyo hapa..!!

Labda unapokuwa mtu maarufu duniani, unahitaji filamu itakayokuelezea maisha yako halisi, Lionel Messi kama mchezaji bora wa soka Duniani amefanikiwa kupata bahati hii ya kutengenezewa filamu. Filamu hiyo iliyoongozwa na director Alex De La Iglesia, pamoja na kuhusisha maisha ya Messi pia imewahusisha marafiki na wanasoka wenzie Messi, kama vile Pep Guardiola, Pique, Pinto, Iniesta, na Mascherano, pia wachezaji wenzie wa timu ya Newell’s Old...

Saturday, October 11, 2014

BRAND NEW: Ile Video ya Umebadilika kutoka kwa Young Killer na Banana Zoro si ndio hii hapa sasa..

Kwenye mfululizo wa single zake alizowahi kutoa hii ni ya 5 ikiwa ni baada ya Dear Gambe,Jana na Leo,Mrs. SuperStar,My Power na hii inaitwa Umebadilika ambapo mwanzoni ilifanywa Classic Sound lakini ikaja kurudiwa na Combination Sound kwa Man Water. Video imefanywa na Director Hefemi Mtanzania ambae anaishi na kufanya kazi nchini Marekani....

Thursday, October 9, 2014

BRAND NEW VIDEO: HIVI NDIVYO NAKAAYA ALIVYORUDI KWENYE GAME

Nakaaya ni staa wa bongofleva ambae ujazo wa jina lake ulitokana na ‘Mr. Politician‘ ambapo baada ya hapo aliendeleza harakati zake kwenye huu muziki mpaka alipopata ajali Arusha ambayo ilimfanya awe kimya kwa muda mrefu. Nakaaya ambae pia ni mama wa mtoto mmoja alietimiza mwaka mmoja siku chache zilizopita alirudi kwenye muziki baada ya kujifungua na kutoa single ya kwanza iitwayo ‘blessing‘ ambayo ni dedication pia kwa mwanae. VIDEO IMEFANYWA...

Wednesday, October 8, 2014

HII NDIO SABABU YA RAIS WA ZANZIBAR KUMFUKUZA KAZI MWANASHERIA MKUU, OTHMAN M. OTHMAN..!!

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, amemfukuza kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. OTHMAN MASOUD OTHMAN kwa kuvikataa baadhi ya vifungu vya rasimu ya Katiba. Nini maoni yako kuhusu hili? ...