Blogger Widgets

Sunday, September 29, 2013

Na hivi ndivyo Magaidi walioshambulia Westgate walivyofanikiwa kutoroka..!!

Video hii inaonesha jinsi gani Magaidi wanaoaminika kuwa wafuasi wa kikundi cha Alshabab walivyofanikiwa kutokomea baada ya kufanya Mauaji ya kutisha Westgate Mall jijini Nairobi. Njia hii ambayo inaaminika magaidi hao waliitumia, imegunduliwa na Kikosi cha wanausalama cha Kenya siku ya Jumanne ambapo ni Siku nne baada ya tukio lenyewe.....

Saturday, September 28, 2013

MAGAZETI YA MWANANCHI NA MTANZANIA YAFUNGIWA

Serikali imeyafungia kutochapishwa Magazeti ya MWANANCHI na MTANZANIA kuanzia 27 Septemba, 2013 kutokana na mwenendo wa magazeti hayo kuandika habari na makala za uchochezi na uhasama kwa nia ya kusababisha wananchi wakose imani kwa vyombo vya dola hivyo kuhatarisha amani na mshikamano ulipo nchini.Gazeti la MWANANCHI limefungiwa kutochapishwa kwa siku kumi na nne(14) kuanzia 27 Septemba,2013.Adhabu hii imetangazwa kwa Tangazo la Serikali(Government Notice )Namba 333 la tarehe 27 septemba,2013.Gazeti la MWANANCHI limepewa adhabu hiyo kutokana...

Thursday, September 26, 2013

Huyu ndio mtoto wa miaka minne aliyeokoa Maisha ya Mama yake kwenye Shambulio la Westgate..!!!

Mtoto wa miaka minne ambaye ni raia wa Uingereza, Elliott Prior ameonyesha ushujaa wa hali ya juu baada ya kuweza kuwatolea maneno makali na ya kugusa magaidi waliovamia jengo la maduka la Westgate. Baada ya maneno hayo, baadhi ya taarifa zilizochapishwa kwenye vyombo mbalimbali vya kimataifa, vinasema magaidi hao waliomba mtoto huyo awasamehe kwa maelezo kuwa wao siyo watu wabaya. Inaelezwa kuwa, kitendo cha mtoto huyo kilikuwa cha kishujaa...

Ufugaji wa aina hii Handeni haukubaliki..!!

Leo naomba tuachane na habari zetu za historia na utalii. Ninataka kuzungumzia uharibifu wa mazingira kama nilivyoshuhudia huko Handeni mkoani Tanga katika Kijiji cha Nyasa, vitongoji vya Kariakoo na Ubungo. Ng’ombe wakiwa Hifadhi ya Msitu wa Nyasa, kitongoji cha Ubungo. Picha ya Maktaba.  Maeneo hayo yanaendesha shughuli za ufugaji, kilimo na uchimbaji wa madini ya dhahabu. Awali eneo hilo lilikuwa ni hifadhi ya msitu, likaondolewa...

Tuesday, September 24, 2013

Na hizi ndio kurasa za mbele za magazeti ya leo,, Jumanne, 24,September!

...

Kodi ya sim card sasa kuanza mara moja!

Mamlaka ya mapato nchini(TRA) imeandika waraka kwenda kwa makampuni ya simu nchini kuagiza kuanza utekelezaji wa kukata kodi ya laini ya simu.Kodi hiyo ni kuanzia July 30 mpaka september mwaka huu.Hii ina maana kwamba kila mtumiaji atakatwa sh 3000 ikiwa ni kodi ya mwezi July,August na September.Kwa maana hiyo mwenye laini mbili atakatwa sh 6000 na mwenye laini tatu atakatwa sh 9000.Na katika hatua nyingine wateja milioni 8 simu zao kufungwa.Kwa taarifa zaidi soma gazeti la Tanzania Daimasource:TANZANIA DA...

Monday, September 23, 2013

Picha zinazosadikika kuwa ni za Wanamgambo wa Alshabab Wakiwa ndani ya Westgate Mall..

Suspected AlShabaab fighters inside Westgate. Look how comfortably they are walking around as if they're shopping ! pic.twitter.com/YURCpyNhzz Picha ambayo bado haijashibitishwa ya al-Shabaab wanaofanya mashambulizi wakiwa ndani ya Westgate Mall ...

Tanzania yafuatilia raia wake Nairobi..!!

Wakati Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akiahidi kuwasaka na kuwakamata walioua watu katika eneo la Westgate, Nairobi, Serikali ya Tanzania inawasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ili kufahamu kama raia wake walikuwa miongoni mwa watu walioathiriwa na shambulio hilo. Watu 59 waliuawa na 107 kujeruhiwa wakati magaidi walipovamia juzi kwenye eneo la maduka jijini Nairobi. Bado askari wa Kenya wakisaidiwa na maofisa wa Shirika...

Sunday, September 22, 2013

Picha Zaidi za Shambulio la Kigaidi Kenya..!

  ...

Al shabaab wakiri kuhusika tukio la kenya, wadai Kenya ilipuuza onyo lao..!!

Afisaa mmoja mkuu wa kundi la kigaidi la Alshabaab, amefahamisha BBC kuwa kundi hilo ndilo limehusika na shambulizi dhidi ya duka la kifahari la Westage mjini Nairobi Kenya. Kwa mujibu wa Afisaa huyo mashambulizi hayo yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa Kenya kwa kujihusisha na vita vya Somalia ambako wanajeshi wake wanakabiliana na kundi hilo. Wanajeshi wa Kenya wamekuwa nchini humo tangu mwaka 2011 kama sehemu ya juhudi za muungano wa Afrika...

Saturday, September 21, 2013

UPDATES NA PICHA ZA TUKIO LA UVAMIZI KENYA..!!

...

Gunmen ambush Nairobi shopping mall, At least 20 killed,Red Cross says..

Gunmen ambushed an upscale shopping mall in the Kenyan capital on Saturday, leading to a fierce gunbattle with police and at least 20 people killed, the Kenyan Red Cross said. Fifty more people were wounded in the attack at the mall in Nairobi, said Abbas Gullet, head of the Kenyan Red Cross. The gunmen burst into the mall and shot indiscriminately, taking some people hostage, according to a senior Kenyan government source. "All of a sudden we heard some shots and people rushing," said Zulobia Kassam, who was having coffee at the mall....

Hakimu achomwa kisu mahakamani..!!

Shinyanga. Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo iliyopo eneo la Nguzo Nane, Kata ya Kambarage Mjini Shinyanga, Satto Nyangoha amejeruhiwa kwa kuchomwa kisu katika shavu lake la kushoto baada ya kutoa hukumu ya kesi ya wizi wa baiskeli. Kitendo hicho kinadaiwa kufanywa na mlalamikaji katika kesi hiyo, Emmanuel Izengo (28), mkazi wa Tambukareli, Shinyanga baada ya kutokuridhishwa na hukumu iliyotolewa bila ya mshtakiwa, Daniel Makelezia, mkazi wa Lubaga Shinyanga na mdhamini wake, Marko Nkelezia kuwepo mahakamani. Katika hukumu yake, Hakimu...

Thursday, September 19, 2013

'Scandal' ya Unga Afrika Kusini,, Akina Masogange kuachiwa!!!

WATANZANIA wawili, Agnes Gerald (Masogange) na mwenzake Melissa Edward waliokamatwa nchini Afrika Kusini kwa madai ya kusafirisha kilo 150 za dawa za kulevya wanayo nafasi kubwa ya kuachiwa wakati wowote kuanzia sasa, Raia Mwema limeambiwa. Ingawa ripoti za awali zilieleza kwamba Watanzania hao walikuwa wamesafirisha kilo 150 za dawa aina ya Crystal Methamphetamine zenye thamani hiyo nchini Afrika Kusini wakati zikisafirishwa kutoka...

Tanzania yamkataa Balozi wa Ujerumani.!!

Tanzania imemkataa Balozi mteule wa Ujerumani ambaye alitakiwa kuja kufanya kazi nchini. Balozi huyo, Margit Hellwig-Boette alikuwa amemaliza muda wake nchini Kenya na alitakiwa kuja kuiwakilisha nchi yake Tanzania. Balozi Hellwig-Boette alikaririwa na Gazeti la Standard la Kenya akieleza kuwa anajipanga kurudi kwao baada ya kukataliwa na Serikali ya Tanzania. Alipoulizwa juu ya suala hilo, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue...

Tuesday, September 17, 2013

Kashfa mpya dawa za kulevya..!!

Raia wa Nigeria aliyefukuzwa Kenya miezi minne iliyopita kwa kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya, amekamatwa tena nchini humo akiwa na pakiti 425 za heroin, akiaminika kwamba alipitia Tanzania. Mtu huyo aliyetajwa kwa jina la Enobemhe Emmanuel Peter inaaminika alishukia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitokea Nigeria na kisha kwenda Kenya kwa barabara, kupitia mpaka wa Namanga mkoani Arusha. Peter...

Chadema kumshitaki Balozi wa China UN..!!

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kitamshitaki Balozi wa China nchini, Lu Younqing Umoja wa Mataifa (UN) kwa kukiuka Mkataba wa Vienna (Vienna Convention) wa mwaka 1964 ambao unaeleza uhusiano wa kibalozi kati ya nchi na nchi. Aidha, kimesema kitaiandikia barua Serikali ya China ili kutaka ufafanuzi kama imemtuma Balozi wake kufanya kazi ya uenezi siasa kwenye vyama. Tukio la Balozi huyo kuhudhuria mkutano wa hadhara...

Monday, September 16, 2013

Dr Mwakyembe Apangua Wajumbe wa Bodi ya Bandari (TPA)

Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe amepangua Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanznia (TPA) kwa kusitisha uteuzi wa wajumbe watano wa bodi hiyo. Imeelezwa kuwa wajumbe hao wameondolewa katika nafasi zao ili kuondoa migongano isiyo na tija ndani ya TPA.Kwa mujibu wa taarifa waliondolewa ni Julius Mamiro, John Ulanga, Caroline Kavishe, Dk Hilderbrand Shayo na Asha Nassoro. Mbali na hao waliondolewa, mjumbe mmoja Dk Jabiri Bakari amejiondoa mwenyewe baada ya ombi lake la kufanya hivo, kukubaliwa Dk Mwakyembe. Waziri amewabakiza wajumbe...

Padri alitishiwa kifo miezi mitatu kabla!!!

Dar/Zanzibar. Siku moja baada ya Padri wa Kanisa Katoliki Parokia ya Cheju, Mkoa wa Kusini Unguja, Joseph Mwang’amba kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana, imebainika kuwa alitishiwa kuuawa miezi mitatu kabla ya kukutwa na tukio hilo. Wakati Padri huyo akieleza hayo, Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, ameijia juu polisi kwa kushindwa kudhibiti matukio ya viongozi wa dini na serikali visiwani humo, kushambuliwa kwa kumwagiwa tindikali...

Mr Nice Aingia tena katika mzozo

Dar es Salaam. Nguli wa muziki aina ya ‘Takeu’ Lucas Mkenda ameingia katika mzozo mzito na meneja wake mpya baada ya kutokukubaliana baadhi ya mambo aliyokuwa akishauriwa na lebo hiyo mpya. Mr Nice ambaye kwa sasa anamilikiwa na lebo ya Candy&Candy Records  kwa muda wa mwezi mmoja na nusu sasa baada ya kutoka katika familia kubwa ya muziki ya GrandPa Recods, ameelezwa kuwa alikuwa na mtazamo tofauti kibiashara na kampuni hiyo...