Blogger Widgets

Thursday, December 11, 2014

BRAND NEW AUDIO: JOH MAKINI FT G.NAKO XO

. Hii ni single mpya ya msanii wa Hip Hop kutokea 87.9 (ArushaCloudsFM)  mwamba wa Kaskazini Joh Makini wimbo unaitwa XO akiwa amemshirikisha G Nako. Isikilize hapa mtu wa nguvu kisha usisahau kuniandikia ya moyoni ili Joh Makini na G Nako wakipita hapa wasome kutoka kwa watu wao wa nguvu.. Bonyeza hapa kuingia kuisikiliza na kudownload moja kwa moja…. >>>> HAPA Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu,...

Monday, December 8, 2014

BRAND NEW VIDEO: G-nako Moralle..

Kutoka Kwa G-Nako WaraWara, hii ndio video yake mpya yaMoralle,, Video imefanyika Arusha, na ni moja kati ya zile Video Tano walizoahidi Weusi.. Kesho, December 9, itakuwepo hewani video ya Joh-Makini I see me.. stay with us.. ...

HII NDIO TWEET YA DAVIDO ILIYOMKOSANISHA NA WATANZANIA..

Usiku wa December 07 Tanzania imechukua tena headline kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hii ni baada ya Mtazania Idris kufanikiwa kushinda kwenye shindano la Big Brother Hot Shot 2014. Usiku huo huo baada ya ushindi wa Idris,Diamond alipost tuzo aliyoshinda Nigeria baada ya matukio hayo kufanyika,Hit Maker wa single kadhaa ikiwemo Skelewu Davido alipost kitu ambacho kimezua tafsiri tofauti tofauti. Post ya Davido ilisomeka >>’N they...

HII NDIO TUZO NYINGINE ALIYOCHUKUA DIAMOND HUKO NIGERIA..

Diamond Platnumz ameshinda tuzo nyingine ambayo hizi zilikua zikitolewa Lagos nchini Nigeria ambazo hizi hazikuwa na utaratibu kama wa tuzo zingine kwa kupiga kura. Baada ya kushinda tuzo hiyo ambayo ilienda kupokelewa na Meneja wake Salaam,Diamond alipost maneno haya>>’Thanks God,we have cheated another one on the future Awards Africa in Lagos Nigeria…#samenight Thank you Allah’ Tuzo hizi zinaitwa The Future Awards Prize in Entertainment...

TANZANIA YAKIMBIZA TENA BIG BROTHER AFRICA..

Leo ni siku ya 63 tangu yaanze mashindano ya Big Brother Africa, ndiyo siku ambayo imefanyika fainali ya #BBAHotshots kwa mwaka huu 2014. Labda nikukumbushe kwamba Tanzania ndiyo nchi pekee iliyokuwa imebakiwa na mshiriki wake ndani ya Jumba la BBA katika ukanda wa Afrika Mashariki na tuliona namna ambavyo mastaa wengi wakitoa support kubwa kwa mshiriki huyo ambaye ni Idris. Hatimaye usiku huu wa Desemba 07 historia nyingine imeandikwa Afrika,...

Tuesday, December 2, 2014

BRAND NEW AUDIO: Kala Jeremiah ft Nuruwell Usikate tamaa

...

HAWA NDIO WACHEZAJI WATATU WALIOTAJWA KUWANIA BALLON D'OR

Orodha ya wachezaji watatu waliongia kwenye fainali ya kuwania tuzo ya Ballon’Dor inayotolewa kwa mchezaji bora wa dunia imetajwa hii leo . Orodha hiyo imewajumuisha wachezaji watatu ambao ni nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo  , nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi, na Kipa wa timu ya taifa ya Ujerumani Manuel Neuer. Ronaldo ndio mchezaji bora kwa sasa baada ya kutwaa tuzo hiyo mwaka jana. Mchezaji ambaye...

CHEKI PICHA,, HII NDIO AJALI ILIYOMHUSISHA DAVID BECKHAM..!!

Moja kati ya story zilizoshtua wapenda michezo nchini England mwishoni mwa wiki hii ni ajali ambayo aliipata nyota wa zamani wa Manchester United na Real Madrid pamoja na timu ya taifa ya England David Beckham . Becks alipata mkasa huo wakati akiwa anatoka kumchukua mwanae anayefahamika kwa jina la Brooklyn toka kwenye mazoezi ya kila siku ya timu yake ya Arsenal . Gari la David Beckham aina ya Audi likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali...

Thursday, November 13, 2014

BREAKING NEWS: Msanii wa HipHop Geez Mabovu afariki Dunia..

Geez Mabovu ni ambae hajavaa shati. Kabla mwaka 2014 haujaisha idadi ya watu maarufu wa Tanzania waliotangulia mbele za haki imezidi kuongezeka na hii ni baada ya taarifa kutoka Iringa zilizoanza kusambaa kuanzia saa tatu usiku November 11 2014. Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili...

Friday, November 7, 2014

MPYA HII KUTOKA WHATSAPP,, WAONGO SASA BAASI..

Nakumbuka moja ya taarifa kubwa zilizowahi kuchukua headlines mwezi Februari 2014 ilikuwa ni stori ya kuuzwa kwa mtandao wa Whatsapp kwa mmiliki wa Facebook, leo kuna taarifa nyingine mpya kuhusiana na watumiaji wa mtandao wa Watsapp. Haya ni mambo manne mapya ambayo huenda hujayasikia kuhusu WhatsApp;- 1. Huduma hiyo inapatikana kupitia Whatsapp katika simu zote za mkononi zenye uwezo wa kuitumia 2. Tick ya kijivu ina maana kuwa ujumbe umetumwa,...

BRAND NEW: HII NDIO TRACK YA GOSBY INAYOITWA "WEMA SEPETU" ILIYO MAKE HEADLINES..

Kila alieona jina la wimbo ‘Wema Sepetu’ amekua na hamu ya kujua moja kwa moja nini kimeimbwa ndani ya hii single ya mkali Gosby ambayo single zake zilizotangulia kama ile ya ‘Monifere’ ft. Vanessa Mdee zimempa nafasi ya kupokewa zaidi na Wabongo. Ukitaka kuisikiliza na kudownload hii mpya ya ‘Wema Sepetu’ unaweza kubonyeza hapa DOWNLOAD  Wema Sepetu LYRICS ARTIST: GOSBY SONG: WEMA SEPETU PRODUCER: JEFFREY AND CJAMOKER LABEL:...

Saturday, November 1, 2014

HAYA NDIYO ALIYOSEMA CHID BENZ KUHUSIANA NA YE KUKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA AIRPORT..

Imekua stori namba 1 kwa mwezi wa October 2014 inayomuhusu msanii kwenye familia ya bongofleva iliyoandikwa au kuripotiwa na kila aina ya chombo cha habari kuanzia TV, Magazeti na hata mitandaoni. Chidi Benz alikamatwa na dawa za kulevya kete 14 pamoja na bangi kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam akielekea Mbeya kwenye show aliyokua anatakiwa kuifanya kesho yake lakini ilishindikana kutokea baada ya kukamatwa na Polisi, baadae akafikishwa Mahakamani...

Friday, October 24, 2014

UMESIKIA HII YA BOKO HARAM KUTEKA WANAWAKE WENGINE? HEBU CHEKI NAYO HAPA..

Taarifa iliyoripotiwa na shirika la utangazaji Uingereza BBC imesema kikundi cha wapiganaji cha Boko Haram kimefanya mashambulizi katika kijiji cha Adamawa kilichopo Kaskazini Magharibi ya Nigeria na kuteka wanawake na wasichana katika kijiji hicho. Utekaji wa wasichana na wanawake hao unatokea ndani ya siku sita tangu serikali ya Nigeria na kikundi hicho walipofanya makubaliano ambapo Boko Haram waliahidi kuwaachilia huru zaidi ya wasichana...

BRAND NEW: UMEISIKIA HII COLABO YA FA NA ALI KIBA? PITA NAYO HAPA..!

MwanaFA ambae hivi karibuni alitajwa na producer maarufu Hermy B kama Mkali miongoni mwa wachache bongoflevani wenye uwezo mkubwa wa kuandika pia mashairi, ameungana na Ali Kiba kuziteka headlines za bongofleva kwa single yao ambayo unaweza kuipakua hapa kupitia mkito.com Wimbo ni wa mwana FA akiwa amemshirikisha Ali Kiba, na unaitwa Kiboko Yangu.. mkito.com ni tovuti mpya iliyo chini ya vijana walioamua kuwa serious kuongeza vipato vya Wasanii...

UMEIPATA HII YA CHID BENZ KUKAMATWA NA POLISI AIRPORT? ICHEKI HAPA..

Najua kama umekua karibu na simu yako leo mitandao ya kijamii hasa Whatsap na twitter inaweza kuwa imetumika kukufikishia Taarifa zilizoanza kuzungumziwa na watu mbalimbali saa kadhaa zilizopita kwamba msanii Chid Benz amekamatwa na Polisi. Taarifa zinasema kakamatwa na Polisi kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam akiwa anaelekea Mbeya na hiyo imetokea baada ya kukutwa na vitu ambavyo ni kosa kwa yeyote kukutwa navyo. Wakati millardayo.com inaendelea...

Monday, October 20, 2014

HAYA NDIO DIAMOND NA UONGOZI WAKE WALIYOZUNGUMZA BAADA YA FIESTA KUWAENDEA VIBAYA..!!

October 18 ilikua ni siku maalum ya Wakazi wa Dar es salaam kula bata kwenye msimu wa mafanikio ambao unapita mara moja kila mwaka kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania. Ilikua ni good time ya ukweli sana Watanzania kumuona T.I kumuona Davido kumuona Victoria Kimani na Waje pamoja na wasanii wengine wa kimataifa ambao nao walihudhuria tamasha hili lililokuwa na watazamaji zaidi ya elfu hamsini. Miongoni mwa wasanii waliopokelewa vizuri kwenye show...

Sunday, October 12, 2014

UMESIKIA KUHUSU HII FILAMU YA MAISHA YA LIONEL MESSI? Cheki Trailer ya Movie hiyo hapa..!!

Labda unapokuwa mtu maarufu duniani, unahitaji filamu itakayokuelezea maisha yako halisi, Lionel Messi kama mchezaji bora wa soka Duniani amefanikiwa kupata bahati hii ya kutengenezewa filamu. Filamu hiyo iliyoongozwa na director Alex De La Iglesia, pamoja na kuhusisha maisha ya Messi pia imewahusisha marafiki na wanasoka wenzie Messi, kama vile Pep Guardiola, Pique, Pinto, Iniesta, na Mascherano, pia wachezaji wenzie wa timu ya Newell’s Old...

Saturday, October 11, 2014

BRAND NEW: Ile Video ya Umebadilika kutoka kwa Young Killer na Banana Zoro si ndio hii hapa sasa..

Kwenye mfululizo wa single zake alizowahi kutoa hii ni ya 5 ikiwa ni baada ya Dear Gambe,Jana na Leo,Mrs. SuperStar,My Power na hii inaitwa Umebadilika ambapo mwanzoni ilifanywa Classic Sound lakini ikaja kurudiwa na Combination Sound kwa Man Water. Video imefanywa na Director Hefemi Mtanzania ambae anaishi na kufanya kazi nchini Marekani....

Thursday, October 9, 2014

BRAND NEW VIDEO: HIVI NDIVYO NAKAAYA ALIVYORUDI KWENYE GAME

Nakaaya ni staa wa bongofleva ambae ujazo wa jina lake ulitokana na ‘Mr. Politician‘ ambapo baada ya hapo aliendeleza harakati zake kwenye huu muziki mpaka alipopata ajali Arusha ambayo ilimfanya awe kimya kwa muda mrefu. Nakaaya ambae pia ni mama wa mtoto mmoja alietimiza mwaka mmoja siku chache zilizopita alirudi kwenye muziki baada ya kujifungua na kutoa single ya kwanza iitwayo ‘blessing‘ ambayo ni dedication pia kwa mwanae. VIDEO IMEFANYWA...

Wednesday, October 8, 2014

HII NDIO SABABU YA RAIS WA ZANZIBAR KUMFUKUZA KAZI MWANASHERIA MKUU, OTHMAN M. OTHMAN..!!

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, amemfukuza kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. OTHMAN MASOUD OTHMAN kwa kuvikataa baadhi ya vifungu vya rasimu ya Katiba. Nini maoni yako kuhusu hili? ...

Thursday, September 25, 2014

Msikilize hapa T.I na alichokisema kuhusu kuja Bongo..!

Kupitia XXL ya CloudsFM September 23 2014 ndio T.I ametangazwa kuwa staa wa muziki wa kimataifa ambae atakua mgeni kwenye stage ya Fiesta 2014 Leaders Club KinondoniOctober 18. T.I ni rapper kutokea Atlanta Georgia Marekani na umri wake ni miaka 33 na ni mkali wa hiphop duniani ambae ujazo wa jina lake ulianza kuonekana mwaka 2003 pale aliposhirikishwa na Bone Crusher kwenye single ya ‘never scared‘...

Huu ndio Mchongo alioupata Diamond Kwenye App Mpya ya "Mziiki"

Ingawa hajaweka wazi namna dili hii itakavyokuwa lakini kupitia ukurasa wake wa Instagram,Diamond Platnumz amepost picha ambayo imebeba maandishi yasemayo ‘Ningependa kukutaarifu shabiki wangu pendwa kuwa kijana wako sasa ni balozi wa application mpya iitwayo Mziiki’. Hii ni application ambayo itatumiwa na watu wenye simu za androad kusikiliza muziki huu ndiyo muonekano wake utakapokuwa ume instal kwenye simu yako. Maandishi ya Diamond pamoja...

Monday, September 15, 2014

BRAND NEW: KUTOKA KWA PROFFESOR JAY, HIZI NDIO VIDEO MBILI ALIZOZIACHIA KWA PAMOJA..!

Rapper mkongwe  Joseph Haule aka Professor Jay usiku wa Jumamosi (13 Sept) alizindua video mbili ‘Kipi Sijasikia &  ‘3 Chafu’,uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam Mbali na uzinduzi huo Professor alipata support kutoka kwa wasanii mbalimbali  akiwemo,Linex,Chid Benz,Lady Jay Dee,Soggy Doggy,TID,Slim,D Knob,Country Boy na wengineo.. Video zenyewe ndio hizi hapa,...

Wednesday, September 10, 2014

ULIONA HII? HIZI NDIO PRODUCTS MPYA KUTOKA APPLE

Najua kuna uwezekano ukawa ulisikia fununu sana kuhusu iPhone6 au hata kuona baadhi ya taarifa feki kuhusu simu hii mpya, post hii ni maalum kukuletea taarifa sahihi na ya ukweli kuhusu iPhone6 ambayo ndio imetambulishwa rasmi. Wanasema simu zote hizi mbili mpya zina A8 processor ambayo inafanya ziwe na kasi zaidi kuliko iPhone5 kwa asilimia 20. Unaambiwa zote iPhone6 na iPhone6 plus zimekuja na screen kubwa tofauti na nyingine zilizotangulia Apple...