Blogger Widgets

Tuesday, April 29, 2014

Uliona hii? Cheki jinsi Beki wa Barcelona alivyokula ndizi aliyorushiwa na washabiki kama ishara ya ubaguzi wa rangi..!!

Mchezaji wa Barcelona, Dani Alves, juzi alitoa kali ya mwaka baada ya kula ndizi aliyotupiwa  na washabiki wa timu pinzani kama ishara ya ubaguzi wa rangi.. Tukio lilitokea juzi jumapili katika mchezo baina ya club ya Barcelona na Villareal. Mchezaji huyo Raia wa Brazil alikuwa tayari kupiga kona mara ghafla ndizi iliyorushwa kutoka kwa washabiki ilitua mbele yake na kwa ujasiri aliokota ndizi hiyo, akaimenya na kuila kisha akapiga kona iliyozaa...

Monday, April 28, 2014

Picha: Uliona Jinsi Jeshi la Wananchi lilivyozipamba sherehe za muungano? Cheki hapa!!

>>Soma Zaidi<< ...

Uliskia hii?? Mashamba ya aliyekuwa gavana wa BOT, Daudi Balali kugawanywa kwa wananchi..!!

 Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Balali.Kilombero. Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero imeamua kufuta miliki ya mashamba yote makubwa yasiyoendelezwa na taratibu mpya zinafanyika ili kuyamilikisha kwa wananchi.Kati ya mashamba hayo, matatu ni ya aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Balali na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Klabu ya Simba, Marehemu Priva Mtema yaliyoko katika vijiji vya...

Sunday, April 27, 2014

Bunge Katiba.. UKAWA WAMJIBU KIKWETE!!

SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) warudi bungeni akidai hawana sababu ya kwenda kushitaki kwa wananchi kwa sababu watawacheka na kuwasikitikia, umoja huo umemjibu wakisema wapo tayari kuchekwa. Akihutubia vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) juzi, siku moja kabla ya sherehe za miaka 50 ya muungano, Rais Kikwete alisema kuwa huko nje wanakotaka kwenda UKAWA siko na siku yake sio...

Sunday, April 13, 2014

BREAKING NEWS: MLIPUKO UNAOSADIKIWA KUWA WA BOMU WAITIKISA ARUSHA!!

Kitu kinachosadikika kuwa ni bomu kimelipuka Hapa Arusha maeneo ya MTK Bar Mianzini na kusababisha mshindo mkubwa sana. Taarifa zinasema baadhi ya watu wameumia vibaya na wamekimbizwa hospitali za Mount Meru na Selian. Kwa sasa Jeshi la polisi limelizunguka eneo hilo kwa uchunguzi zaidi.. Bado hakuna taarifa ya vifo vyovyote vilivyotokana na tukio hilo. Taarifa zaidi tutaendelea kuwajuza...

BREAKING NEWS: Makamu wa Rais (Dk. Bilal), Kamanda Suleiman Kova, Mkuu wa Mkoa wa Dar na Dk. Magufuli wapata ajali ya helikopta!!

Katika kukagua uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua kubwa katika Jiji la Dar es salaam, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Dk.John Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Meck Sadiki na Afande Kova wamenusurika ajali ya helikopita iliyotokea leo Jijini Dsm..  Makamu wa Rais Dk Gharibu Bilal, Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar Es Salaam, Sulemani Kova na Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli wamenusurika katika ajali hiyo, na wamekimbizwa...

YALIYOMO KATIKA MAGAZETI YA LEO.. Jumapili, 13 April

<<SOMA MAGAZETI ZAIDI>>...

Saturday, April 12, 2014

Mjue msanii wa Bongo aliyepata shavu kushiriki kwenye wimbo maalum wa Kombe la Dunia Brazil..!!

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Judith  Wambura ‘Lady JayDee’ kupitia kampuni ya Coca-Cola Tanzania  amepata nafasi ya kushiriki kwenye wimbo maalum kwa ajili ya michuano ya kombe la Dunia itakayofanyika Brazil  mwezi juni mwaka huu. Katika hiyo ngoma Lady Jay Dee na David Correy wameimba kwa kutumia lugha ya kiingereza huku Octoppizo akiwa amerap kwa lugha ya kiswahili. Wimbo huo ambao umetambulishwa...

Cheki Video hii, Hillary Clinton arushiwa kiatu wakati akihutubia huko Las Vegas Marekani..

Wakati mke wa rais wa 42 wa Marekani, Bill Clinton akitoa risala huko Las Vegas Marekani kuna Mwanamke mmoja ambae hakujulikana ni nani, alitoka kwenye upande wa wanaosikiliza na kumrushia Hillary kiatu ambacho hata hivyo alifanikiwa kukikwepa. Imefahamika kwamba Mwanamke huyo hakua kwenye orodha ya waalikwa katika risala hiyo na walinzi walimshtukia kabla ya hicho kitendo ila kabla hawaja mdaka tayari alikua amesharusha kiatu. Baada ya...

HAYA NDIO MATOKEO YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DAR....!

...