Blogger Widgets

Sunday, June 29, 2014

Updates za kinachoendelea katika Tuzo za BET,, na Mshindi wa Tuzo ya Best African Act..!!

Habari mbaya kwa watanzania na wapenzi wote wa Bongo fleva. Msanii Davido toka Nigeria azidi kumpelekesha Diamond. Tuzo pekee aliyokuwa akiwania Diamond Platnumz imenyakuliwa na Davido. Diamond aliyekuwa Nominated katika Category ya Best African Act katika Tuzo za BET, amejikuta akishindwa tena mbele ya Mpinzani wake mkubwa Davido kama ilivyokuwa katika Tuzo za MTV, ambapo davido alishinda zidi ya Diamond katika kipengele cha Best Male Artist. Katika...

SI UMESHAMSKIA MKUDE SIMBA? SASA MSIKILIZE MWANAE, HII KALI YA ZOTE!!!

Sikiliza kali hii na Download kutoka hapa.. ...

Saturday, June 28, 2014

BAADHI YA PICHA ZA YALIYOJIRI JANA KATIKA TUZO ZA WATU ZIKO HAPA..!!!

Mzee Majuto akiwa kwenye red carpet ya Tuzo za watu  Salum Kikeke akipata ukumbusho kwenye tuzo za Watu  NI kupendeza tu kwenye  tuzo za watu  Babu Tare pamoja na Said Fela wakiwa kwenye red Carpet ya Tuzo za watu JB naye aliamua kutokelezea kwenye red carpet ya Tuzo za watu  Madam Ritta akiwa kwenye red Carpet ya Tuzo za watu ...

BRAND NEW: Video ya Shetta na Diamond iliyofanyika South Afrika, hii hapa..!!

Baada ya kusubiri kwa muda mrefu hivi sasa unaweza kuangalia video ya Sheta akiwa na Diamond kwenye video ya Kerewa Kerewa waliyo shoot South Africa. itazame hapa uone nini kipya kimefanyika hum...

Friday, June 27, 2014

BRAND NEW: ILE VIDEO ILIYOSUBIRIWA KWA HAMU,, NITASUBIRI, KUTOKA KWA JUX,, HII HAPA..!!!

Ni video iliyofanyika China ambayo kabla haijatoka tayari ilitengeneza headlines kwamba mrembo alieonekana ndani ya video ni Jackie Cliff mpenzi wake Jux ambae aliingia kwenye headlines mwishoni mwa mwaka 2013 kutokana na kudaiwa kukamatwa na dawa za kulevya China. Kipisi cha video kilichotangulia kutoka ndio kilifanya watu waseme ni Jackie Cliff yupo kwenye hiyo video manake sura ya mrembo kwenye hicho kipisi haikuonyeshwa lakini umbo lake lilifanana...

Tuesday, June 24, 2014

BRAND NEW: TRACK MPYA TOKA KWA JOH MAKINI,, NAJIONA MIMI, SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA!

Kutoka Kwa Mwamba wa Kaskazini, River Camp Soldier, Joh Makini, Akiwakilisha vyema kundi la Weusi,, Huu ni wimbo wake mpya, Titled "Najiona mimi" au "I see me" Wimbo umetengenezwa na Nah Real na Chizan Brain.. Sikiliza na Download hapa....

Monday, June 23, 2014

Elizabeth Michael "Lulu" nae aingia kwenye mziki.. Sikiliza wimbo huu wa Mapacha alioshirikishwa..!!

Wimbo unaitwa ‘time for the money’ umetengenezwa kwenye studio za Soround Sound zilizopo THT na producer wa wimbo huu ni Tudd Thomas ambapo ndani kashirikishwa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lul...

Haya Ndiyo Mambo aliyoyafanya Diamond Platnumz Huko Belgium weekend iliyopita..!!

Miaka kadhaa nyuma ziliwahi kutoka stori kuwa wanamuziki wengi wa Tanzania wanapoenda kufanya show nje mara nyingi hawapigi show kwenye club kubwa na taarifa hiyo iliunganishwa na maneno kuwa muziki wa Tanzania bado haujawa na nafasi ya kuwa na mashabiki wengi. Kwa picha kadhaa ambazo wasanii wanapost kwa sasa wanapokuwa kwenye show zao nje ya nchi utaungana nami kwa kuamini kuwa muziki wa Tanzania umekua kwa kiasi kikubwa sana kiasi kwamba umekaa...