Blogger Widgets

Saturday, July 11, 2015

PICHA ZA KINACHOENDELEA DODOMA, MAKAO MAKUU YA CCM MUDA HUU..!!

DSC_2734
Kikao cha Halmashauri Kuu kimeendelea sasa hivi kwa zaidi ya saa nne hapa Makao Makuu ya CCM Dodoma, viko vitu vingi  vinaendelea nje ya Ukumbi… wapo wanaoimba na kushangilia, wengine wapo wakiendelea kusubiri kile kitakachotangazwa baada ya Halmashauri Kuu kumaliza Kikao.
Watu ni wengi sana nje ya Ukumbi, nimebahatika kukutana na wenyeji wa Mji wa Dodoma na watu ambao wanafanya shughuli zao kwenye Majengo yanayozunguka Makao Makuu hayo, wanasema haikuwahi kutokea mtaa huu ukawa busy watu wakawa wengi kiasi hiki.
DSC_2702
Hapa ni nje ya Ukumbi ambao Kikao kinaendelea.
DSC_2739
Baadhi ya Wajumbe wakiwa nje ya Ukumbi.
DSC_2741
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa nje ya Ukumbi pia.
DSC_2751
DSC_2760
DSC_2762
Waziri Lukuvi akitembea kuelekea Ukumbini.
DSC_2770
.
Hawa ilikuwa bahati mbaya wakapata ajali jirani na gari la Polisi.
DSC_2782
Huyu alionekana kwenye vurugu nje ya Ukumbi, Polisi wakamchukua.
DSC_2785
Gari nyingi za Polisi na FFU zimezunguka Ukumbi kuhakikisha Usalama upo wakati wote.
DSC_2798
Wanaoshangilia hawajachagua pa kukaa, ni mchana jua kali lakini wapo hapa wakati wote.
DSC_2806
Kila mtu kaaangalia panapomfaa, wengine wako juu ya ukuta.
DSC_2814
Akina mama na wadada nao hawajaogopa kusimama juu ya ukuta.
DSC_2819
DSC_2829 DSC_2831 DSC_2834 DSC_2837 DSC_2841 DSC_2856 DSC_2859 DSC_2861

KUTOKA DODOMA,, HAWA NDIO WAGOMBEA WATANO WALIOTAJWA NA CCM..!!

CCM
July 10 2015 inaripotiwa taarifa nyingine kutoka Dodoma Tanzania… Watu wengi wamekaa tayari kujua nini ambacho kitaamriwa Dodoma kuhusu Mgombea Urais ambae anateuliwa na CCM kugombea Urais wa Tanzania 2015.
Majina yalikuwa mengi zaidi ya 38, hii ndio list ambayo imetangazwa kuingia Top Five kupitia ukurasa wa Twitter wa CCM @ccm_tanzania
CCM II