Blogger Widgets

Wednesday, July 30, 2014

Hii ndio ajali mbaya iliyotokea Dodoma leo asubuhi..!!!

Capture5July 30 imesambaa Taarifa ya ajali ambayo imetokea mapema leo na Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma ajali iliyosababisha vifo vya watu 17 kati yao wanaume 12, wanawake 5 na majeruhi kwa mujibu wa jeshi la Polisi Dodoma.
Capture4Ajali hiyo imetokea majira ya saa 08:00 asubuhi eneo la Pandambili barabara ya Dodoma –Morogoro ambayo imehusisha basi la kampuni ya Moro Best yenye namba T258 AHV ambalo lilikuwa likitokea Mpwapwa kuelekea Dar es Salaam.
Capture3Basi hilo lilikuwa likiendeshwa na SAID S/O LUSOGO liligongana na Lori namba T820CKU / T390CKT lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma likiendeshwa na GILBERT S/O ISAYA NEMANYA.
Taarifa ya kamanda wa Polisi inseam katika ajali hiyo watu 17 wamepoteza maisha kati yao wanaume ni 12 na wanawake ni 5. Pia watu 56 wamepata majeraha mbalimbali na wamelazwa katika Hospitali za wilaya ya Kongwa na Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma. Miongoni mwa waliofariki ni pamoja na dereva wa lori hilo pamoja na utingo wake.
Chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa lori kutokuwa na tahadhari kwa magari yaliyokuwa yanakuja mbele yake wakati anapita (overtake) gari lingine na kwenda kuligonga busi hilo.

Saturday, July 26, 2014

BRAND NEW: Barnaba na Mkewe katika video yake hii mpya,, Icheki Hapa..!!!

Screen Shot 2014-07-26 at 2.30.12 AMHii single inaitwa ‘Wahaladee’ ambayo ni miezi kadhaa imepita tangu utoke rasmi kwenye Radio lakini July 25 2014 Watanzania wameletewa video yake ambayo imeongozwa na Nick Dizzle ambapo kingine kikubwa kwenye hii video ni mrembo alieigiza ndani yake, ni mke wa ndoa wa Barnaba (Mama Steven)
Naambiwa video imefanywa Kenya na Tanzania.

Thursday, July 24, 2014

Hiki ndicho kilichoendelea Mahakamani katika kesi ya Mbasha Jana..!!!

Mbasha 22KESI ya ubakaji inayomkabili mume wa Flora Mbasha ambae ni mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Tanzania Emmanuel Mbasha (32), ilitajwa tena July 23 2014 katika mahakama ya wilaya ya Ilala ambapo Mbasha amesomewa tena mashataka yake huku akikubali sentensi mbili tu kati ya nne zilizosomwa.
Akisoma hoja hizo mbele ya hakimu Wilbert Luago, mwendesha mashtaka wa serikali Nasoro Katunga alisema May 23 2014 mtuhumiwa alimbaka binti aitwaye  Yerusalemu Boazi (17) ambae ni mdogo wa Flora na kumlazimisha asimwambie mtu yoyote ambapo wakati akitenda kosa hilo mkewe Flora hakuwepo nyumbani.
Katunga aliendelea kufafanua kuwa May 25 2014 Mbasha alirudia tena kitendo cha ubakaji baada ya kumuomba binti huyo amsindikize kumtafuta mke wake ambae hakuwepo nyumbani ambapo walipofika Tabata peke yao, Mbasha alimbaka tena binti.
Hizo sentensi zote mbili za juu Mbasha amezikana Mahakamani kwa kusema sio kweli.
Hata hivyo iliendelea kuelezwa kwamba tukio hilo la ubakaji liliripotiwa katika kituo cha polisi Tabata ambako Boazi alipewa PF3 kwa ajili ya kupata matibabu ambapo uchunguzi uliofanywa ulionyesha ni kweli binti huyo aliingiliwa kimwili.
Mbasha 25
Mbasha akiwa na baba yake mzazi Mahakamani.
Katika kesi hiyo ambayo Mbasha anatetewa na wakili Mathew Kakamba, Mbasha alikubali sentensi mbili na kuzikataa mbili zilizobaki kwamba alimbaka binti huyo.
Alichokubali ni kusema ni kweli alimuomba binti huyo amsindikize kumtafuta mke wake ambaye hakuwepo nyumbani na pia alikubali ni kweli Mei 23 2014 mke wake Flora Mbasha hakuwepo nyumbani.
Baada ya kusomewa mashataka hayo na mwendesha mashataka wa serikali, Jaji Luago aliahirisha kesi hiyo hadi August 22 2014 baada ya wakili anayemtetea Mbasha kudai atakuwa na safari kwa siku za karibuni nje ya Mkoa.
Source>>Millard Ayo<<

Tuesday, July 22, 2014

HII NDIO ZAWADI ALIYOITANGAZA DIAMOND KWA MSHINDI WA ZOEZI HILI..!!

ddddsHaya ni maneno ya Diamond akitangaza kitu ambacho ukikifanya unaweza kujishindia milioni moja cash. Soma hapa na kama lipo ndani ya uwezo wako fanya ujishindia pesa kutoka kwa Diamond.
diaondd

BRAND NEW: Track Mpya toka kwaa Young Killer Ft Banana Zoro


Kutoka kwa Young Killer Msodoki, Hivi ndivyo alivyomrudisha Banana Zorro katika Media tena kwa Track hii kali na Style ya aina yake. Wimbo unaitwa "Umebadilika" Umetengenezwa na Man Walter, Sikiliza na download hapa..

Friday, July 18, 2014

HAYA NDIO ALIYOZUNGUMZA ALIKIBA KUHUSIANA NA DIAMOND PLATNUMZ..!!

kibaMtaani kumekua na stori nyingi sana zinazowahusisha mastar kutoka Kigoma Ally Kiba pamoja na Diamond Platnumz na maneno mengi yamekua ni kuhusu uhusiano wao kama wanamuziki.
mondddWengi wao wanasema kuwa Ally Kiba na Diamond Platnumz wana Bifu na kama lipo watu wanatamani kujua chanzo cha hilo bifu na kwa sasa kama wana mpango wowote wa kufanya kazi pamoja.
Ally Kiba kapatikana na kuongea sentensi hizi 4.
1-’Mimi nipo okey sana’
2-’Sifikirii tu kuongea nae basi lakini nipo okey’
3-’Sijawahi kufikiria kwa sababu kuwa okey na mtu ni pamoja na kuzungumza kuwa karibu yaani sijawahi kufikiria’
4-’Mimi nipo okey na sina chuki,sana sana nampongeza sina chuki simaindi na nipo okey’.
Unaweza kumsikiliza Ally Kiba chini hapa..  <<Source Millard Ayo>>

Thursday, July 17, 2014

SIKILIZA NA DOWNLOAD NYINGINE TENA TOKA KWA BWAKILA, MTOTO WA MKUDE SIMBA..!!!

Hahaahaaaa! Hapa bwana mdogo kamaliza...

Wednesday, July 16, 2014

Yanga sasa wameamua, Wasajili mwingine tena toka Brazil

jajaWiki chache baada ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa kibrazil Andrey Coutinho – klabu ya Yanga leo hii imefanya usajili mwingine wa mchezaji kutoka Brazil.
Usajili wa sasa ni wa Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Brazil Geilson Santos Santana “Jaja” ambaye amewasili leo mchana jijini Dar es salaam akitokea jijini Sao Paulo tayari kwa kuanza kazi ya kuitumikia klabu ya Young Africans Sports Club kwa msimu wa 2014/2015.
Jaja ambaye alikua akichezea timu ya Itabaina FC nchini Brazil, anakuwa ni mchezaji wa pili kuungana na kikosi cha Young Africans baada ya Andrey Coutinho kuwa mchezaji wa kwanza kujiunga na kikosi cha kocha Marcio Maximo.
Usajili wa wachezaji hawa ni muendelezo wa uongozi wa Young Africans kuhakikisha msimu ujao unakua na kikosi bora ambacho kitaweza kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom na mashindano ya Kombe la Shrikisho Barani Afrika.
Jaja anaungana na makocha wabrazil Marcio Maximo na Leonardo Neiva na kiungo Andrey Coutinho katikaa msimu huu ambapo kwa pamoja ushirikiano wao na wachezaji wengine wazawa wataisaidia Young Africans kufanya vizuri.
Kesho asubuhi Jaja anatarajiwa kuanza mazoezi katika shule ya sekondari Loyola ikiwa ni sehemu ya maandaliz ya michuano mbalimbali itayowakabili.

Friday, July 11, 2014

Meet Reginald Mengi: From bedroom to boardroom with $550m

Mr Reginal Mengi’s first bright idea came the day he went to buy a pen and couldn’t find one. That was after he quit his job at PwC, where he rose to become one of the youngest partners at the age of 30. PHOTO | FILE 
Little is known about the journey of most of Tanzania’s richest people as they rarely share their experience with the public. But Reginald Mengi—one of the richest men in Africa—shared his story in an interview published by Forbes Africa magazine in its latest July edition.
Mr Mengi, the business tycoon whose wealthForbes estimated at $550 million in November 2013, started his business as a purveyor of pens using his bedroom to assemble the pens. With the help of a friend, he found a pen manufacturer in Kenya who shipped the parts to start his business.
“When the components arrived I didn’t know where to put them,” he recalls. “The best place was my bedroom and it was in that bedroom that I started assembling the pens.”
His first bright idea came the day he went to buy a pen and couldn’t find one. That was after he quit his job at PricewaterhouseCoopers (PwC), where he rose to become one of the youngest partners at the age of 30.
In an interview published by Forbes Africamagazine in its July edition, Mr Mengi says he resigned from PwC at the height of career. He was chairman and managing partner then.
He adds: “Some people leave their jobs when things are bad, but I left mine when things were really good. You change when things are really good and you go into the new job with a big kind of energy rather than going there totally depressed because you had been sacked or you were not doing well.” His dream was to run a big business but understood that he had to start small. Everywhere he looked, he saw suffering in the then socialist society and shortages of almost everything. Selling pens was a big change from PwC, where he had a large office, staff and a company house. Now he worked 16-hour days, downgraded his car from Peugeot 504 to Peugeot 104 and also delivered his products on foot.
But he was good at spotting an opportunity:  He sold shoe polish made from ground charcoal and oil and a natural skin exfoliator that was simply bottled sea mud. He was on a roll and made anything he could—from toilet paper to soap, detergent, beds, shoes and toothpaste.
“I made sure that no one in Tanzania would spend a day without coming into contact or touching one of my products,” he says. “The only thing I didn’t sell then was the air you breathe.”
Mr Mengi’s story goes back to Machame in Kilimanjaro, where he grew up and had to bed down with cattle. Walking without shoes is nothing new to the simple man bound closely to his roots in the village and who enjoys plain language and has a story for everything.
His parents, both farmers, owned a little plot of land where the family of eight lived in poverty. He recalls:  “We lived in a mud hut with twocows, three sheep and a few chickens. Nothing more than that in terms of what my family was worth because we just couldn’t make ends meet…we couldn’t afford food and when we got two meals a day it was a great celebration.”
He wanted more than two meals a day and took drastic action. With one year of high school left, he earned a scholarship to study corporate accounting in Glasgow, Scotland. He explains: “I couldn’t tell my headmaster that I had won a scholarship to go to Britain halfway through Form Five, so I ran away from school.”
Virtually everyone he knew tried to convince him to stay but his mind was made up. He flew from Moshi to Glasgow, via Nairobi and London. He always believed the streets of London were paved with gold, only to get a big dose of the truth when he got there.
“I saw a beggar in the street, a white beggar, and after that I said:  “You know what? Even London has many things like home.”
In Scotland, it was not the history, the whisky or the glimpse of the Loch Ness Monster that impressed him. It was the warmth of the people. But at college in Glasgow, Mr Mengi had a change of heart. He no longer wanted to become an articled clerk. His sponsors said he had to stay in Scotland for six months as it had been paid for.
He did stay, but abandoned the course, took night classes and finished high school instead. During the day, he worked many jobs—from bus conductor to cleaner—to make ends meet.
“I wouldn’t turn it down because it was too dirty or the money was too little,” he recalls. “My question was the alternative: If I worked I got $1; if I didn’t, I got nothing…$1 is better than nothing.”
A year and a half later, he had finally found his feet but received devastating news. His father had died. He was stuck 7,000 miles away with no money to go home.
“The biggest regret I had was that he passed away without me showing him that I’d been able to make it in life and do something for him to say, ‘well, that’s my son’. That I regret. I wish he had just lived on for a while for me to go back and say ‘daddy you know what, I’ve been able to do it and let me now be by your side,” he recalls, as he pulls a handkerchief out of his pocket to wipe away tears.  “That eats me up even today.”
After high school, Cooper Brothers, now PwC, offered him a job where he completed his articles. He climbed the ranks and became a member of the Institute for Chartered Accountants for England and Wales. But still he yearned for home.
After nine years away, he moved to the Nairobi office. It was one of the shortest careers in history—he resigned after a few hours. “I wanted to be in Tanzania. I knew I could make more money in Britain but I wanted to be back home. I wanted to go back to do something for my people. I was educated by poor Tanzanians and I thought it would be a good thing to give back.”
After a year in Moshi, he moved to PwC back home in Dar es Salaam, where he worked hard—only to resign again when he was the chairman and managing partner.
But it was news that brought him great success. In 1994, he launched his first newspaper, The Guardian, and a year later came Tanzania’s first television network, ITV. He did it all with no journalism experience.
His media ventures were created under the IPP Group, where he is the sole owner. Mr Mengi now owns eight newspapers, three radio stations and three television stations and has more than 1,000 people working under him. Besides his interest in media, Mr Mengi is also involved in mining and bottling for the Coca Cola Company. When asked about his wealth, he shies away—saying it is un-Tanzanian to boast.
He adds: “A rich African cannot look at life the way a rich American or European does. In the case of Africans, we are surrounded by many poor people. We grew up with them. We have to know where we’ve come from. Look at the rich Africans. Tell me one who did not come from poverty. We all come from poverty but we have to look back to where we have come from. We should not forget.”
For the full interview, read Forbes Africa magazine’s July 2014 edition

Tuesday, July 8, 2014

Hii ni Kuhusu mlipuko uliotokea eneo la Gymkhana, Arusha jana, Wawili wanashikiliwa..!

Mtu mmoja amefariki na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu jijini Arusha.
Polisi wamewakamata watu wawili wakihusishwa na shambulio hilo lililotokea kwenye mgahawa wa 'Vama Traditional Indian cuisine' jijini Arusha Tanzania.

Watu wasiojulikana walirusha bomu ndani ya mgahawa kupitia mlangoni ambapo watu wanane wamejeruhiwa moja kati yao akiwa na majeraha makubwa.
Shambulizi hilo lilitokea siku ya jumatatu saa nne usiku.
Aidha,katika matukio mengine, jumla ya Watu 20 wanazuiliwa na Polisi wakiwemo watu sita wanaosadikiwa kujihusisha na mlipuko wa bomu uliotokea mkoani Arusha juma lililopita nyumbani kwa Kiongozi wa dini Sheikh Sudi Ally Sudi na kujeruhi watu wawili.
Polisi wanaendelea na upelelezi kuhakikisha inawatia nguvuni watu waliohusika na matukio hayo.

Haijulikani kilichosababisha mlipuko huo.

Monday, July 7, 2014

BRAND NEEW: HII NDIO ILE KALI YA ZOTE, KUTOKA KWA PLATNUMZ, TAZAMA VIDEO YA MDOGOMDOGO..!!

Ile video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa muziki wa Bongo Fleva, ndio hii sasa. Kutoka kwa Diamond Platnumz, hii ndio video yake mpya. Wimbo unaitwa Mdogo Mdogo, na hii ndio video yake iliyofanyka nje ya nchi chini ya uangalizi wa kampuni kubwa inayotisha kwa kutengeneza videos za wasanii wengi wakubwa wakiwemo P.square, The Godfather.

Itazame Video hiyo hapa..

BRAND NEW: KATIKA ZILE VIDEO MBILI ALIZOAHIDI DIAMOND PLATNUMZ KUZIACHIA LEO, YA KWANZA NDIO HII


Kutoka kwa Diamond Platnumz, hii ni video mpya aliyoifanya na Iyanya, msanii toka Nigeria.
Video inaenda kwa jina la Bum Bum. Diamond platnumz ameachia video hiyo leo, ikiwa ni kutimiza ahadi yake ya kuachia video mbili kwa mpigo siku ya leo..

Tazama video hiyo hapa,,

K

HIKI NI KIPANDE KIDOGO TU CHA VIDEO MPYA YA DIAMOND- MDOGO MDOGO



Diamond3Video hii pamoja na ile ambayo ameshirikiana na Iyanya kutoka Nigeria Diamond Platnumz ameahidi kuziachia kesho wakati anasherehekea siku ya kuzaliwa kwa mama yake mzazi ingawa kuna suprise ambayo imesemekana anataka kumfanyia zaidi ya kuachia video hizo.
Hii ni ni miongoni mwa video atakazoachia July 07,audio imefanywa na producer Tuddy Thomas wimbo unaitwa Mdogo Mdogo umefanywa na Madirector walewale waliofanya video kadhaa za mastar wa Afrika, The God Father.