Blogger Widgets

Wednesday, October 28, 2015

HAYA NDIO MAAMUZI MAPYA JUU YA UCHAGUZI WA ZANZIBAR..!!



MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR YAMEFUTWA, Madai ni kuwa uchaguzi huo haukuwa wa huru na Haki
Sababu nyingine iliyochangia kufutwa kwa matokeo hayo ni pamoja na ikiukwaji wa sheria ikiwemo mgombea Maalim Seif kujitangaza kwenye matokeo kuwa mshindi.
Via AzamTV