Blogger Widgets

Wednesday, July 31, 2013

Nicki Minaj Responds to DJ Khaled's Marriage Proposal

DJ Khaled was only kidding when he asked for Nicki Minaj's hand in marriage, which is perfect because the proposal did nothing but give her a good laugh.

Khaled, who's reportedly still married to a woman credited as his "spiritual advisor," made a video plea for the YMCMB Barbie through MTV last week. Turns out it was all a "joke" (aka publicity stunt) to promote his new single, "I Wanna Be With You," featuring Minaj.
Proposing was Khaled's way of raising anticipation for the track off his upcoming Suffering From Successrelease.
Judging by his words, the proof was always there. "We got the same symptoms, we both suffering from success," Khaled said in the video accompanied by a $500,000 10-carat engagement ring.
Pretty much everybody assumed the Miami dweller was being facetious. "Nobody in my real life took it seriously," Minaj told Funkmaster Flex Monday (July 29). "Everybody just hit me like, 'LOL. Yo, Khaled is crazy.'"
The Queens native sees Khaled as a "brother" and nothing romantic. "Khaled was not serious with that damn proposal ya'll," she added." Please let it go. He was kidding. He's not attracted to me. He doesn't like me. We're brother and sister."
Being a female rapper in a male-dominated industry has blurred the lines between Minaj and her platonic list of "brothers" before. Drake was first to pop the question three years ago, one in song, and again on Twitter. 
Minaj happily accepted, but the "Twitter marriage" ended a day later. 
Source: BET

Monday, July 29, 2013

AZZAN KUJIUZULU UBUNGE ENDAPO ITABAINIKA ANAHUSIKA NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA!!!

MBUNGE wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan, amesema yupo tayari kujiuzulu ubunge, ikiwa itabainika anajihusisha biashara ya dawa za kulevya. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya kutajwa katika moja ya barua iliyosambazwa katika mitandao ya kijamii, baada ya mtu anayedaiwa kukamatwa China na kuwatuhumu watu kadhaa akiwamo Idd Azzan.


Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu sakata hilo, alisema hatua ya kuhusishwa na biashara haramu ya dawa za kulevya, ni kutotenda haki mbele ya jamii hasa wapiga kura wake na Taifa kwa ujumla.

Alisema mtu aliyendika barua ya tuhuma dhidi yake, ni wazi amedhamiria kumshushia heshima na huenda akawa ana jambo limejificha.

“Ni kweli nimeiona hiyo barua katika mtandao, inayodaiwa imeandikwa na kijana ambaye amekamatwa Hong Kong nchini China. Lakini ninajiuliza kama kweli yeye ni raia mwema, katika hili kwanini hakutaka kutaja jina lake kwenye barua hiyo.

“Hata nilipoisoma nimebaini kuwa huyo mtu ametumika na huenda kabisa hayupo nje ya nchi, kwani katika maelezo yake anataja jina la Balozi Philip Marmo kuwa amemsaidia hali ya kuwa hivi karibuni Rais Kikwete alimteua Balozi mpya Abdulrahman Shimbo na Marmo kuwa Balozi wa Shirikisho la Ujerumani.

“Kingine naona alijaribu kuandika uongo kuweza kuaminisha jamii, kwani hata hilo jila la balozi mwanzo limetajwa jina la Bernad na kukatwa kwa wino. Ninapenda kulieleza Taifa kuwa naomba vyombo vya usalama vifanye uchunguzi wa jambo hili na nikibainika ninauza dawa za kulevya nipo tayari kujiuzulu ubunge wangu.

“Kubwa haki itendeke katika kufanya uchunguzi wa jambo hili, ila ni lazima jamii na Watanzania kwa ujumla tusikubali kwa makusudi watu waichafue nchi yetu kwa chuki na fitna tu,” alisema Azzan.

Alisema kutokana na hali hiyo, anashindwa kuchukua hatua yoyote ya kufanya zaidi ya kuliandikia barua Jeshi la Polisi lifanye uchunguzi dhidi ya barua hiyo kuweza kubaini ukweli wa jambo hilo.

“Sijawahi kuuza dawa za kulevya na hata katika familia yangu hakuna mtu anayefanya biashara hiyo haramu. Kila mmoja anajua kuwa Idd nilikuwa Diwani wa Kata ya Magomeni, huku kazi yangu kubwa ikiwa ni biashara ya magari na daladala ambayo ninaendelea nayo hadi sasa mbali ya ubunge kama nilivyopewa heshima na wapiga kura wangu wa Kinondoni,” alisema Azzan.

MTANZANIA ilipomuuliza kuwa ni hatua gani ikibainika hakuna ukweli wa jambo hilo baada ya vyombo vya usalama kufanya uchunguzi, alisema atakachokifanya anamuachia Mungu.

“Ni ngumu kusema hatua gani nitachukua ikibainika hakuna ukweli, lakini nataka kusema kama yule aliyeandika barua hii angetaja jina lake ni wazi baada ya uchunguzi ningeweza kuomba ushauri kwa mwanasheria wangu hatua za kuchukua, lakini kwa kuwa hakutaja jina ni ngumu kuweza kuamua,” alisema Azzan.

Kwa mujibu wa taarifa zilitolewa kupitia mitandao, ziliripoti kukamatwa kwa Watanzania wawili nchini China wakiwa na dawa za kulevya zenye thamani ya Dola milioni 3.34 za Marekani.

Thursday, July 25, 2013

HiguaĆ­n and Reina check in at Napoli

Gonzalo HiguaĆ­n has been confirmed as Edinson Cavani's replacement at SSC Napoli after leaving Real Madrid CF, with the Serie A side also signing Pepe Reina from Liverpool FC.
SSC Napoli president Aurelio De Laurentiis has announced that the club have secured the services of Argentina striker Gonzalo HiguaĆ­n from Real Madrid CF and goalkeeper Pepe Reina from Liverpool FC. HiguaĆ­n has arrived in Naples for a reported fee of.....>>Read More<<

Tuesday, July 23, 2013

SAKATA LA KODI YA SIM CARD, RAIS AINGILIA KATI!!!

Rais Kikwete ametoa agizo mamlaka zote husika zikae chini kutatua haraka mzozo wa kodi ya sim card ili kumaliza malalamiko ya wananchi.

Rais Kikwete ametoa agizo hilo jioni hii alipokutana na viongozi wa wizara ya fedha, sayansi mawasiliano na teknolojia, TCRA na wawakilishi wa makampuni yote ya simu Tanzania. 

Lengo ilikuwa kujadili mzozo huo.

Monday, July 22, 2013

YALIYOMO KWENYE MAGAZETI YA LEO,,, Monday, July 22, 2013











Saturday, July 20, 2013

Mfanyabiashara Said Mohammed Saad (Mmiliki wa Home Shopping Center) AMWAGIWA TINDIKALI


Taarifa za awali zinadai kamwagiwa Tindikali maeneo ya Msasani City Mall muda wa saa 2.

Ni jirani na Ubalozi wa Marekani na jirani kabisa na Police Oysterbay.


                                


Mtu aliyefanya kitendo hicho alitoka mbio, mlinzi akamkimbiza lakini bahati mbaya akateleza na kuanguka na Mtu huyo akawahi pikipiki na kutoweka eneo la tukio.


Source: Jamii Forumns

Mfanyabiashara Said Mohammed Saad anamiliki Kampuni ya Home Shopping Center iliyopo Kariakoo Mtaa wa Swahili na Msimbazi

Said amelazwa Trauma (AMI) Hosp - Masaki

Tuesday, July 16, 2013

YALIYOMO KWENYE MAGAZETI YA LEO!!! Tuesday, July 16, 2013











Monday, July 15, 2013

CHADEMA HATARINI KUFUTIWA USAJILI!!!!

Hatimaye msajili wa vyama vya siasa Nchini John Tendwa ameibuka na kusema sasa anaandaa kalamu yake kukifuta Chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA.

Katika Taarifa yake kwa vyombo vya habari muda mfupi uliopita Tendwa amesema CHADEMA wanataka kuanzisha kikundi cha mgambo ambacho ni kinyume na sheria,katiba ya nchi na sheria za usajili wa vyama.

Msajili huyo ambaye inadaiwa ni mwanachama mwaminifu wa CCM amesema kwamba kama madai ya CHADEMA ni kuanzisha kikundi cha kujilinda dhidi ya Green Guard wa CCM madai hayo hayana msingi wowote kwani kama CHADEMA wana....>>Read More<<

Bayern completes Thiago Alcantara deal!!!


The Champions League holder beat Manchester United to the highly-rated midfielder's signature after triggering his buy-out clause


Josep Guardiola, Thiago Alcantara
Bayern Munich confirmed that it has secured the services of Thiago Alcantara from Barcelona for a fee of around 20 million euros.

Pep Guardiola recently stated that he was keen to lure the 22-year-old to the Allianz Arena and the deal has now been completed as Thiago has signed a contract with FCB until.... >>Read More<<

YALIYOMO KWENYE MAGAZETI YA LEO!! Monday, July 15,2013









Sunday, July 14, 2013

MATOKEO YA UCHAGUZI WA MADIWANI ARUSHA!!!

Kwa habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimefanikiwa kushinda viti vya udiwani katika kata zote nne kwenye uchaguzi wa madiwani uliofanyika leo jijini Arusha baada ya uchaguzi huo kuahirishwa mara mbili. Matokeo ya kura hizo ni kama ifuatavyo:

THEMI
CHADEMA -678
CCM-326
CUF-313

KIMANDULU
CHADEMA-2665
CCM-1169

KALOLENI
CHADEMA-1019
CCM-389
CUF-169

ELERAI
CHADEMA-1715
CCM-1239
CUF-213

Uchaguzi mdogo wa madiwani Arusha wageuka vurugu tupu!!

Uchaguzi mdogo katika kata nne za Jiji la Arusha unafanyika leo, huku Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ikiwapiga marufuku Mkuu wa Mkoa, Magessa Mulongo na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongella kuingia kwenye vituo vya kupigia kura, wala kujihusisha kwa namna yoyote na zoezi la upigaji kura ikisema siyo jukumu lao kisheria.

Mbali ya NEC kupiga marufuku viongozi hao wa kisiasa kukaribia vituo hivyo, uchaguzi huo umekumbwa na matukio kadhaa likiwamo la Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema pamoja na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Taifa Chadema(Bavicha), John Heche, kunusurika ku... >>Read More<<

Saturday, July 13, 2013

VITA KALI CHADEMA, CCM!!

Siku tatu baada ya Rais Jakaya Kikwete kuponda mpango wa Chadema kuanzisha kambi kwa ajili ya mafunzo ya ulinzi kuwalinda viongozi na wanachama wake,  chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimeibuka na kusema kuwa kinaendelea na mpango huo na kambi hizo zitaanza rasmi wiki ijayo.

Kimesema hakitishwi na kauli ya Jeshi la Polisi kukionya juu ya  uanzishwaji wa mafunzo hayo,  kwamba jeshi hilo linatakiwa kuanza kukizuia Chama Cha Mapinduzi (CCM)  kwanza, kwa maelezo kuwa chama hicho tawala pia kina kikundi cha ulinzi ‘Green Guards’ ambacho kinafanya... >>Read More<<

Friday, July 12, 2013

Serikali yatangaza kima cha chini mishahara ya kisekta!!!

Serikali imetangaza viwango vipya vya chini vya mishahara kisekta ambavyo vinatofautiana kati ya sekta moja na nyingine ambavyo ni kuanzia Sh40,000 hadi Sh400,000 kwa mwezi kuanzia Julai Mosi mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Ridhiwani Wema, watakaolipwa kima kidogo zaidi cha Sh40,000 ni wafanyakazi wa.... >>Read More<<

YALIYOMO KWENYE MAGAZETI YA LEO,, Friday, July 12, 2013










Thursday, July 11, 2013

MAGAZETI YA LEO.. Thursday, July 11, 2013