Kutoka kwa Machalii ya Ara.. Hii ndio Remix ya Mamong'oo Toka kwa Jambo Squad ft Arusha United
Katika remix hii kali, utasikia vichwa vikali toka pande za kaskazini, Arusha City, kama vile Stoppa Rhymes, Nick wa Pili, G.Nako, Bu-Nako, Chindo, Ruff-G, Nakaaya, Chief Mufasa na Wengine wengi..