Blogger Widgets

Tuesday, August 19, 2014

Kutoka kwa Machalii ya Ara.. Hii ndio Remix ya Mamong'oo Toka kwa Jambo Squad ft Arusha United


Katika remix hii kali, utasikia vichwa vikali toka pande za kaskazini, Arusha City, kama vile Stoppa Rhymes, Nick wa Pili, G.Nako, Bu-Nako, Chindo, Ruff-G, Nakaaya, Chief Mufasa na Wengine wengi..
Download na sikiliza pini hii kali hapa..