Blogger Widgets

Thursday, June 27, 2013

Brasil yawa timu ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Mabara!!

FIFA_CONFEDERATION_CUP_BRAZIL_2013
KONA ya Dakika ya 86 ya Neymar ilimkuta Kiungo Paulinhoaliejitwika kichwani na kuipa Brazil Bao la pili na la ushindi na kutinga Fainali ya Mashindano ya FIFA ya Kombe la Mabara walipoifunga Uruguay Bao 2-1 katika Mechi ya Nusu Fainali iliyochezwa Estadio Mineirao, Mjini Belo Horizonte, Nchini Brazil.. >>Soma Zaidi<<