ALJERRY'12
Thursday, June 20, 2013
Hali ilivyokuwa leo Mjini Arusha!!!!
Maandamano Makubwa ya wafuasi wa CHADEMA wakielekea kuaga miili ya waliopoteza Maisha katika mlipuko wa Bomu, jumamosi iliyopita!!
Hivi ndivyo hali ya mji ilivyokuwa leo..
Newer Post
Older Post
Home