Blogger Widgets

Thursday, June 20, 2013

Hali ilivyokuwa leo Mjini Arusha!!!!

Maandamano Makubwa ya wafuasi wa CHADEMA wakielekea kuaga miili ya waliopoteza Maisha katika mlipuko wa Bomu, jumamosi iliyopita!!



Hivi ndivyo hali ya mji ilivyokuwa leo..