Blogger Widgets

Tuesday, September 24, 2013

Kodi ya sim card sasa kuanza mara moja!

Mamlaka ya mapato nchini(TRA) imeandika waraka kwenda kwa makampuni ya simu nchini kuagiza kuanza utekelezaji wa kukata kodi ya laini ya simu.Kodi hiyo ni kuanzia July 30 mpaka september mwaka huu.Hii ina maana kwamba kila mtumiaji atakatwa sh 3000 ikiwa ni kodi ya mwezi July,August na September.Kwa maana hiyo mwenye laini mbili atakatwa sh 6000 na mwenye laini tatu atakatwa sh 9000.

Na katika hatua nyingine wateja milioni 8 simu zao kufungwa.

Kwa taarifa zaidi soma gazeti la Tanzania Daima

source:TANZANIA DAIMA