WACHEZAJI NA KOCHA, WOTE NDANI YA STUDIO! HUU NDIO WIMBO WALIOIMBA WACHEZAJI WA MADRID BAADA YA KUSHINDA UEFA!!
Baada ya kushinda taji la 10 la kihistoria la ligi ya mabingwa wa ulaya, timu nzima ya Real Madrid iliingia studio kuimba wa #HalaMadrid. Wimbo huo tayari umetoka utazame hapo chini……