Blogger Widgets

Friday, August 15, 2014

BRAND NEW: KWA WALE WAPENZI WA MUZIKI WA MJ,, HII NDIYO VIDEO MPYA TOKA KWA MAREHEM MICHAEL JACKSON

mj
Michael Jackson angetimiza miaka 55 mwezi huu lakini bado mashabiki wa muziki wake wanaendelea ku-enjoy kazi zake kama hivi. Kuelekea kutoa album ya Xscape ya Michael Jackson, hivi sasa imetoka video mpya ya A Place With No Name.
Video hiyo zaidi ya kuwa na wahusika wengine, pia imehusisha baadhi ya video za Michael Jackson kutoka kwenye behind the scene wakati aki-shoot short film ya In the Closet.