Blogger Widgets

Friday, October 24, 2014

BRAND NEW: UMEISIKIA HII COLABO YA FA NA ALI KIBA? PITA NAYO HAPA..!

MwanaFAMwanaFA ambae hivi karibuni alitajwa na producer maarufu Hermy B kama Mkali miongoni mwa wachache bongoflevani wenye uwezo mkubwa wa kuandika pia mashairi, ameungana na Ali Kiba kuziteka headlines za bongofleva kwa single yao ambayo unaweza kuipakua hapa kupitia mkito.com

Wimbo ni wa mwana FA akiwa amemshirikisha Ali Kiba, na unaitwa Kiboko Yangu..
mkito.com ni tovuti mpya iliyo chini ya vijana walioamua kuwa serious kuongeza vipato vya Wasanii wa Tanzania hivyo kila unaposupport kwa kudownload au kusikiliza hii single ndivyo unaongeza kipato cha wakali hawa.
Au unaweza kuibonyeza hapa kupelekwa moja kwa moja kuipata >>> HAPA