Blogger Widgets

Monday, December 8, 2014

HII NDIO TWEET YA DAVIDO ILIYOMKOSANISHA NA WATANZANIA..

dvdUsiku wa December 07 Tanzania imechukua tena headline kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hii ni baada ya Mtazania Idris kufanikiwa kushinda kwenye shindano la Big Brother Hot Shot 2014.
Usiku huo huo baada ya ushindi wa Idris,Diamond alipost tuzo aliyoshinda Nigeria baada ya matukio hayo kufanyika,Hit Maker wa single kadhaa ikiwemo Skelewu Davido alipost kitu ambacho kimezua tafsiri tofauti tofauti.
Post ya Davido ilisomeka >>’N they Cheat again lol’ baada ya muda mfupi post hiyo aliifuta ambayo bado Watanzania wamekua na maswali tofauti kuhusu hicho alichokiandika.
1DVD
Post hii ya kejeli, ambayo Davido aliipost kwenye ukurasa wake wa twitter, imemsababishia kujenga uadui na watanzania, na kuambulia matusi yakutosha kwenye social medias hususan kwenye Instagram.