Blogger Widgets

Wednesday, April 24, 2013

BREAKING NEWS!!!!! YANAYOJIRI NOW CHUO CHA UHASIBU ARUSHA!!!

Wanafunzi wagomea masomo na kudhamiria kuandamana kuelekea kwa mkuu wa mkoa wa Arusha baada ya mwanafunzi mwenzao kuuwawa kwa kisu usiku wa jana, saa nne usiku wakati akitokea chuo kujisomea. Katika picha ni matukio yanayoendelea sasa chuoni hapo, wakiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Arusha bwana Godbless Lema.. 




KINACHOENDELEA NOW KATIKA PICHA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA...