Blogger Widgets

Wednesday, April 24, 2013

MKUU WA MKOA AGOMA KUONGEA NA WANAFUNZI KWA MADAI HAWEZI KUONGEA BILA KIPAZA SAUTI!!!

Baada ya mkuu wa mkoa kufika chuo cha uhasibu Arusha,
alishindwa kuongea na wanafunzi hao kwa madai kwamba hawez kuzungumza bila kipaza sauti.

"Mkuu wa mkoa mwenyewe anaitwa hapa kwenye tukio anakuja kama anakuja kwenye send-off wakati kaitiwa msiba hapa" Ni maneno ya mbunge wa jimbo la Arusha bwana Godbless Lema.. pia Lema amesikika akisema "Mkuu huyo wa mkoa amekuja hapa si kwa ridhaa yake, bali ni cheo tu kimemleta hapa" Wanafunzi wa chuo hicho kwa sasa hawataki kusikia lolote ni maandamano tu wanatka. HABARI ZAIDI UTAZIPATA KUPITIA HAPAHAPA...