Blogger Widgets

Wednesday, April 24, 2013

MABOMU YA MACHOZI NA RISASI ZATUMIKA KUWATULIZA WANAFUNZI CHUO CHA UHASIBU ARUSHA!!!!

Kikosi cha kutuliza ghasia mkoani Arusha chalazimika kutumia mabomu ya machozi na kufyatua risasi hewani kuwatuliza wanafunzi waliokuwa wametanda chuoni hapo na kugoma kumsikiliza mkuu wa mkoa, kwa madai kwamba ana dharau. Mabomu na risasi zilirindima eneo hilo huku wanafunzi wakikimbia hovyo huku na kule kwa hofu na woga. Picha na habari zaidi zitakujia hapa hapa...