Blogger Widgets

Friday, April 26, 2013

MBUNGE WA ARUSHA MJINI AVAMIWA NA POLISI NA KUKAMATWA USIKU WA MANANE NYUMBANI KWAKE!!!

Godbless Lema alipowasili chuo cha Uhasibu Arusha


 Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, ametiwa hatiani na jeshi la polisi kwa kile kinachodaiwa ni uchochezi wa vurugu zilizojitokeza siku ya jumatano katika chuo cha uhasibu Arusha. Pia imedaiwa kuwa mbunge huyo ndiye aliyesababisha wanafunzi wa chuo hicho wamfanyie vurugu mkuu wa mkoa wa Arusha alipofika katika eneo hilo. Usiku wa kuamkia Leo, Polisi wamevamia nyumba ya Mbunge huyo... Read More >>>