Blogger Widgets

Friday, May 3, 2013

CCM WAMJIA JUU MKUU WA MKOA ARUSHA.. Wadai amemwongezea umaarufu Lema


• WADAI AMEMWONGEZEA UMAARUFU LEMA, CHADEMA

Mkuu wa Mkoa Arusha, Ndg. Magesa Mulongo



VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwemo wabunge, wamemjia juu Mkuu wa Mkoa (RC) wa Arusha, Magessa Mulongo kwa jinsi alivyoshughulikia kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA).

Wabunge hao walikiambia chanzo hiki mjini Dodoma kuwa kesi ya uchochezi iliyofunguliwa na serikali dhidi ya Lema kwa shinikizo la mkuu huyo... >>Read More>>>