Blogger Widgets

Sunday, September 29, 2013

Na hivi ndivyo Magaidi walioshambulia Westgate walivyofanikiwa kutoroka..!!

Video hii inaonesha jinsi gani Magaidi wanaoaminika kuwa wafuasi wa kikundi cha Alshabab walivyofanikiwa kutokomea baada ya kufanya Mauaji ya kutisha Westgate Mall jijini Nairobi.
Njia hii ambayo inaaminika magaidi hao waliitumia, imegunduliwa na Kikosi cha wanausalama cha Kenya siku ya Jumanne ambapo ni Siku nne baada ya tukio lenyewe..