Blogger Widgets

Sunday, June 14, 2015

NA HII NDIYO LIST YA WASHINDI WOTE WA TUZO ZA KTMA..


Bendi Bora ya Mwaka - FM Academia

Wimbo bora wa kushirikiana/kushirikishwa - MwanaFA ft. Ali Kiba - Kiboko Yangu

Msanii Bora Chipukizi Anayechipukia - Barakah Da Prince

Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Tanzania - Waite - Mrisho Mpoto

Wimbo bora wa Zouk/Rhumba - Ntampata Wapi - Diamond Platnumz

Wimbo bora wa Afro-Pop - Mwana - Ali Kiba

Video ya bora ya muziki ya Mwaka - Mdogo Mdogo - Diamond Platnumz

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka bendi - Amoroso

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka Bongo Flava - Nahreel

Mtunzi bora wa mwaka Hip Hop - JohMakini

Mtunzi bora wa mwaka bendi - Jose Mara

Mtunzi bora wa mwaka Bongo Flava - Ali Kiba

Mtunzi Bora wa mwaka Taarab - Mzee Yusuf

Wimbo Bora wa Afrika Mashariki - Sura Yako - SautiSol

Msanii Bora wa Hip Hop - JohMakini

Rapper bora wa mwaka bendi - Ferguson

Wimbo bora wa reggae/dancehall - Maua Sama

Wimbo bora wa Hip Hop - Kipi Sijasikia - Prof Jay ft. Diamond Platnumz

Wimbo Bora wa R&B - Sisikii - Jux

Wimbo Bora wa Kiswahili Bendi - Wale Wale - FM Academia

Wimbo Bora wa Mwaka - Mwana - Ali Kiba

Wimbo bora wa Taarab - Mapenzi Hayana Dhamana - Isha Mashauzi

Muimbaji Bora wa Kiume Bendi - Jose Mara

Mwimbaji Bora wa kike Taarab - Isha Mashauzi

Mwimbaji Bora wa Kiume Taarab - Mzee Yusuf

Muimbaji Bora wa Kike Bongo Flava - Vanessa Mdee

Muimbaji Bora wa Kiume Bongo Flava - Ali Kiba

Mtumbuizaji bora wa muziki wa mwaka wa kike - Vanessa Mdee

Mtumbuizaji bora wa muziki wa mwaka wa kiume - Ali Kiba